nahisi naibiwa

nahisi naibiwa

Kuna jamaa alikuja hapa na uzi alienda kumsuprise demu wake wa chuo hivi matokeo yake demu akamkana akaambulia kichapo kwa kuwavurugia watu starehe zao naona huyu ndg ndo anakitafuta,ukweli unajieleza wenyewe unagongewa afu hamkomi/kujifunza tu kwa wenzenu maana haipiti mwezi mtu moja au wawili lazima waje jukwaani kulialia juu ya mademu wa vyuo.Fimbo ya mbali haiui nyoka.
sidhan kama naweza kufikia hatua ya kuleta fujo coz najitambua!,,,,
sijazama kichwa na miguu kias cha kua boya najielewa ila nnachokitaka ni kujua ukwel il niwe sahh,,,nakuhakikishia kama ntamkuta amezingua ntahakikisha nabak ck 2-3 za kua na kabint cha apo chuo kujituliza mawazo
 
tehe tehe tehe,,ayo mambo ya uchunguz ntadeal nayo mwenyew,,,athante kwa concern

ha ha ha ha naona unataka kumchunguza mwanamke umesahau msemo wa "Usijaribu kumjua mwanamke (kujua kila kitu cha mwanamke) la siyo utageuka kuwa chizi
 
nimekua na mahusiano na mpenz wangu kwa muda sasa (takribani miez 5 sasa),,mwanzon tumekua tukiwasiliana kwa karibu sana na kunifanya nijiskie amani na kusahau kuhus wasichana wengne,,,,kifup amenifanya niwe mwaminifu sana,,
cha ajabu ni ck za apa karbun ambapo gafla amepunguza mawasiliano kwa madai shule imebana,,,namtumia txt anachelewa kujib,,,sitak kuamin kua mpenz wangu huyu anani-cheat ila naamin kwel mambo yamebana,,
nilichopanga kukifanya ni kwenda kumsalimia kwa suprise,,kwamba simwambii kua naenda mkoa aliko ila atashtukia kuniona thn ntapata nafas ya kuikagua cm yake for good il nijue moja maana ata raha nae tena sina mekua mpweke mnoo,,
wana mmu plz naombeni mnishauri,,,niko sawa kwa uamuzi wangu huo!!

Take it from me, dont do that, utaumia na siku nyingine kwa mwingine utaumia, simple way dont take any relationship seriously. Trust none and you wont be disappointed. I had the same problem those days, but now am singing and dancing in any relationship as i dont give a damn to anything.
 
Take it from me, dont do that, utaumia na siku nyingine kwa mwingine utaumia, simple way dont take any relationship seriously. Trust none and you wont be disappointed. I had the same problem those days, but now am singing and dancing in any relationship as i dont give a damn to anything.
tehe tehe i use to be tht way too before ths gal bt i promicd myself kua serius nae and means no cheating,,,mpaka apa maana yake ni kua the way i use to thnk abt her changed and now uchakachuaj unaweza kuanza wakat wowote few days to come,,,,nahc wkt wang wa kutulia bado as i am only 25,,,ngja ncheze ngonjera za ujana mpk kieleweke
 
ingawa siwez kuusemea moyo wake bt i prety sure kua she z nt of th type,,,,binafsi hua namuona anajieshimu,,,nakumbuka wkt bado nkiwa nasoma nlikua namuona na kufatilia kwa karb mwenendo wake,,,ni msichana anaejitambua kwa kwel

Kama anajitambua kinachokupa donge moyoni ni nini? Kwamba u mwaminifu sanaaaaa au unakumbuka mshawasha ulioupata wakati mkiwa kwenye vibanda umiza na sasa unadhani kuna mwenzio anamtenda ulivyokuwa ukimtenda?

Napenda sana watu wanaowaza positively....nakumbuka kisa kimoja cha bwana mmoja alirudi nyumbani kwa kushtukiza majira ya mchana,mkewe kusikia mlio wa ghari kaanza kutweta chumbani (kwa kuwa alikuwa anafanya mapenzi na shemejie) huku mtoto wao mdogo akiwemo ndani...

Bwana mkubwa kufika sebuleni (down stair) mtoto anamkimbilia na kumwambia mama yuko hoi kitandani (akidhani anaumwa) na kwamba kuna uncle kajificha bafuni...jamaa bila kupaniki kaenda chumbani kamkuta mkewe uchi juu ya kitanda na kuingia bafuni kamkuta jamaa,,,kwa upole akamuuliza jamaa inakuwaje mke wangu ni anatweta unashindwa kumpatia huduma ya kwanza na badala yake unavua nguo kumtisha mtoto? Wakati mwingine msiwe mnakimbilia conclusion mapema...
 
Kama anajitambua kinachokupa donge moyoni ni nini? Kwamba u mwaminifu sanaaaaa au unakumbuka mshawasha ulioupata wakati mkiwa kwenye vibanda umiza na sasa unadhani kuna mwenzio anamtenda ulivyokuwa ukimtenda? Napenda sana watu wanaowaza positively....nakumbuka kisa kimoja cha bwana mmoja alirudi nyumbani kwa kushtukiza majira ya mchana,mkewe kusikia mlio wa ghari kaanza kutweta chumbani (kwa kuwa alikuwa anafanya mapenzi na shemejie) huku mtoto wao mdogo akiwemo ndani... Bwana mkubwa kufika sebuleni (down stair) mtoto anamkimbilia na kumwambia mama yuko hoi kitandani (akidhani anaumwa) na kwamba kuna uncle kajificha bafuni...jamaa bila kupaniki kaenda chumbani kamkuta mkewe uchi juu ya kitanda na kuingia bafuni kamkuta jamaa,,,kwa upole akamuuliza jamaa inakuwaje mke wangu ni anatweta unashindwa kumpatia huduma ya kwanza na badala yake unavua nguo kumtisha mtoto? Wakati mwingine msiwe mnakimbilia conclusion mapema...
tehe tehe hadsith inafanana na ya ngoswe,,,
 
Kimalaya k ile kaka nakigegeda kipo sauti mwanza tena kinatoa mpaka 0713
 
Kimalaya k ile kaka nakigegeda kipo sauti mwanza tena kinatoa mpaka 0713
hahaha icho kitakua kingne,,,wangu sio beach banaa,,,,
pia hayupo saut'
 
Miezi mitano tu umeishamuamini vipi kama wewe ndo umeingilia mapenzi ya wenzio? Ukienda huko utakutana na mpenzi wake ambae wako kwenye mahusiano zaidi ya miaka mitano. Huwezi kumwamini mwanamke kwa muda huo mfupi hapo ninachoona wewe umeingilia mapenzi ya watu sasa nenda huko wakakufumanie.
 
sidhan kama naweza kufikia hatua ya kuleta fujo coz najitambua!,,,,
sijazama kichwa na miguu kias cha kua boya najielewa ila nnachokitaka ni kujua ukwel il niwe sahh,,,nakuhakikishia kama ntamkuta amezingua ntahakikisha nabak ck 2-3 za kua na kabint cha apo chuo kujituliza mawazo

kwa maelezo yako inaonekana umekolea kwa huyo demu ndo maana unahaha wewe sema unajitahidi kujipa moyo
 
Kuna jamaa alikuja hapa na uzi alienda kumsuprise demu wake wa chuo hivi matokeo yake demu akamkana akaambulia kichapo kwa kuwavurugia watu starehe zao naona huyu ndg ndo anakitafuta,ukweli unajieleza wenyewe unagongewa afu hamkomi/kujifunza tu kwa wenzenu maana haipiti mwezi mtu moja au wawili lazima waje jukwaani kulialia juu ya mademu wa vyuo.Fimbo ya mbali haiui nyoka.
''fimbo ya mbali haiiuu nyoka kaka''
lakin sio kila wakat tht apply!!,,
 
Kaka kuna wanawake ambao hawana ujasiri wa kutamka neno "it is Over" wao ni vitendo tuu. Navyoona hapo ashapata mwingine wewe anza kumuondoa taratibu akilini mwako otherwise ukikomaa nae utakuja kushuhudia maumivu makali ambayo hujawahi kuyapata.
 
Pole sana. hiyo ni moja ya dalili ambayo unaibiwa kweli, lakini inaweza ikawa sio kweli kwa asilimia ndogo lkn inawezekana. hakuna faida ya kwenda huko na kumshtukiza maana unajipotezea muda wako tu, sasa ukimshtukiza hlf ukakuta anakusaliti utafanyaje? utasema utamuacha lkn kiukweli utajiumiza sn, cha msingi nachokushauri, ww tuliza nafsi yako, hlf usimpe mchunie, usimpigie wala usimtumie msg we muache tu, hlf uone reaction yke, km atakua ni mtu wa kukutafuta bac mjibu lkn kimkato, km anakupenda kwl hawezi choka kukutafuta km wewe unavomtafuta lkn km ana mtu mwngne utaona ndo anachukulia advantage ya kuwa mbali na ww zaidi. lenga mwanamke mwingine na uanzishe urafiki, hii itakupunguzia upweke, sio uanzishe mahusiano hapana js urafiki, hlf ukiona mambo yanakua mazuri tupia nyavu na achana na huyo wa mwanzo.
 
''fimbo ya mbali haiiuu nyoka kaka''
lakin sio kila wakat tht apply!!,,

kila general rule ina exception yake ila ukweli demu wako huko chuoni kaishapata mdau mwingine anampa mambo vizuri ndo maana anakusahau
 
Miezi mitano tu umeishamuamini vipi kama wewe ndo umeingilia mapenzi ya wenzio? Ukienda huko utakutana na mpenzi wake ambae wako kwenye mahusiano zaidi ya miaka mitano. Huwezi kumwamini mwanamke kwa muda huo mfupi hapo ninachoona wewe umeingilia mapenzi ya watu sasa nenda huko wakakufumanie.
tehe tehe kufumaniwa sio rahis ingawa apo kwenye muda may b ya right i nid mo tym kujiridhisha,,,
 
kwa maelezo yako inaonekana umekolea kwa huyo demu ndo maana unahaha wewe sema unajitahidi kujipa moyo
kukolea ofcoz i am coz ckua namfanya part tym,,,she gat my future in her hand thts why i have to fight 4 it,,ila kama haijapangwa hatuwez kulazimisha,,,
i simply do my part
 
Kaka kuna wanawake ambao hawana ujasiri wa kutamka neno "it is Over" wao ni vitendo tuu. Navyoona hapo ashapata mwingine wewe anza kumuondoa taratibu akilini mwako otherwise ukikomaa nae utakuja kushuhudia maumivu makali ambayo hujawahi kuyapata.
tht z one side of the coin,,the other side coulb be what am doin
 
Back
Top Bottom