Nahisi naibiwa-mrejesho

Nahisi naibiwa-mrejesho

Daaaah, ww una moyo mgumu kama ARSENE WENGER! kwa taarifa yako, baada ya kukuomba msamaha wewe, anaefuata kuombwa msamaha ni LECTURER, tena kwa kupewa mzigo, wewe si unasema alikuwa anagalagala, sasa lecturer atapewa mzigo WHOLE SALE ambao utamsahaulisha maneno yako yote! Pole ndg yng, yaani ktk mabingwa wa kusamehe, wewe umo, umemshinda hata NELSON MANDELA
 
Pole sana ndugu umeanzisha tifu ucloweza kulihimili any way pole kwa yalokukuta ndugu. hapo huruma yako imechukua nafasi la sivyo ingekuwa habar nyngne
 
Daaaah, ww una moyo mgumu kama ARSENE WENGER! kwa taarifa yako, baada ya kukuomba msamaha wewe, anaefuata kuombwa msamaha ni LECTURER, tena kwa kupewa mzigo, wewe si unasema alikuwa anagalagala, sasa lecturer atapewa mzigo WHOLE SALE ambao utamsahaulisha maneno yako yote! Pole ndg yng, yaani ktk mabingwa wa kusamehe, wewe umo, umemshinda hata NELSON MANDELA

Nelson ni kiboko ndugu jamaa anamkubali binti dat y kafanya hvyo ujue mmetofautiana mioyo
 
Daaaah, ww una moyo mgumu kama ARSENE WENGER! kwa taarifa yako, baada ya kukuomba msamaha wewe, anaefuata kuombwa msamaha ni LECTURER, tena kwa kupewa mzigo, wewe si unasema alikuwa anagalagala, sasa lecturer atapewa mzigo WHOLE SALE ambao utamsahaulisha maneno yako yote! Pole ndg yng, yaani ktk mabingwa wa kusamehe, wewe umo, umemshinda hata NELSON MANDELA
na anahitaji kombe aisee
 
duh... yaani unajisifi umemwambia ya moyoni, jamaa sasa atfumua marinda yote....
 
USIWEKE MTEGO WA KUMFUMANIA MKEO KAMA HUNA UWEZO WA KUMUACHA tchaoooooooooo kwa stori hiyo mimi wewe ndo nakuona unaonewa samahani lakini

Hahaaaa! umenifurahisha sana nimekumbuka kisa kimoja kwenye magazeti ya Shigongo 'Cheka na Kitime' hapana chezea kufumania.!!
 
...Alileta mgomo kuweka pattern lakini baadae alifanya hivyo na mimi kuingia ndani kujionea nilikuta conversation kati yake na mtu ambae alinieleza uko nyuma kua ni her supervisor and anamfundisha darasani the charting was so intimate kiasi kwamba I was frustrated....

Mkuu unatembea na watoto wa chuo unategemea nini? Bora awe wa chuo na mnasoma wote na sio mwenyewe anasoma na wewe upo kitaa.
 
Mkuu mleta mada una roho kubwa sana! I think you know what I mean. Ingekuwa mimi hata nisingempa second thought.

Nadhani nina wivu wa nyongo!
 
tehe,ths tym sijataka ushauri nimeshafanya yangu na apa nimeleta mrejesho kama ambavyo niliahid,,ushauri nilihitaj mwanzo not ths tym bibie

Una uhakika, unahisi au unanidhalilisha kwa kuniita bibie? Mi nakuheshimu sana, nataka nijue kama heshima inachukua mkondo wake kwa upande wako.
 
Nitavumilia yote, yote nitavumilia.... Lakini akishaamua kuvua chupi kwa mwingine baaaasi!!! Tit for tat, tunaambiana kwaheri..
 
Una uhakika, unahisi au unanidhalilisha kwa kuniita bibie? Mi nakuheshimu sana, nataka nijue kama heshima inachukua mkondo wake kwa upande wako.

Naona unataka kupamdisha mori babu
 
Ni kawaida yangu kutofanya uchunguzi wa jambo ambalo matokeo yake siwezi kuyafanyia uamuzi sahihi... Maneno haya... NAMUACHIA MUNGU... Siyapendi kabisa
 
Back
Top Bottom