Nahisi naibiwa-mrejesho

Nahisi naibiwa-mrejesho

ok let say kaliwa!,,ndo atakua wa kwanza?,,,by the way sijamkuta bikra!,,means alikua ameshaliwa,,,to me r'ship goes beyond kuliwa na kulwa,,,busara ni sehem muhimu sana kwenye mahusiano,,,m am proud nilipata busara za kufikia uamuzi wa kumsamehe,,,
usikute na ww unakomaa kaliwa coz hua unafanya hiv na unajua kabsa apo ni manyoya tehe tehe,,,
mi nampenda mpenz wang na kama n kumuacha t has to be somnthn realy serius,,

Kama kukaziwa sio tatizo kwann uweke mitego ukague simu...----- ww
 
let say kagegedwa wat does it matter kwamba jamaa kaondoka na kiungo?,,,ningeweza kusema kwann nna 100 percent hajagegedwa bt cwez kusema kwann,,,km wewe unaamin kagegedwa kherii,,,ukiamin kinyume pia kwangu sawa tu,,,wat i care z niko poa now

Basi guru mpaka mbulu ikulu kwa mama lulu
Tuma namba tupashe si free ground hyo au?
 
let say kagegedwa wat does it matter kwamba jamaa kaondoka na kiungo?,,,ningeweza kusema kwann nna 100 percent hajagegedwa bt cwez kusema kwann,,,km wewe unaamin kagegedwa kherii,,,ukiamin kinyume pia kwangu sawa tu,,,wat i care z niko poa now

ulichokisolve hapo ni kuwapa umakin ktk mapenz yao na kumkumbusha gal wako kufuta msg zitakazo kuwa zinaingia. Ila keshaliwa na ataendelea kuliwa. Chakufanya ww andaa machoz tu siku ukija kuwafumania tena
 
Kwa kifupi jamaa huyu anamegewa demu wake na lecturer...yani gelofrend wake anafanya matusi na mwalimu wake.

Huyo gelofurendi Wa jamaa anafanya matusi na Mwalimu wake halaf jamaa hataki kukubali mpaka awafumanie
Basi sawaaaaa
 
Kwa kitendo cha kukosa uaminifu ninakuacha hapo hapo, no discussion!!! Why becoming so cheap mwanaume/mwanamke??? Eti with evidence halafu eti msamaha!!! Katika kosa la mapenzi ni msamaha wa cheating!!! Kwa taarifa sasa watawasiliana na watapanga strategy nyingine ya kuendeleza mgegedo!!! Tupilia mbali usije ukafa ukimwi maana lecturers wengi huu ndiyo ugonjwa wao maana kila mvaa kitovu ni halali kwao!!!!
 
sasa mbona mtoa mada mwenywe mkali duh ni kama vile anataka msapoti kile alichoona yeye na uamuzi aliochukua, sasa kulikuwa na haja gani kuileta hapa hii mada?
 
Kama alivyo kuomba msamaha ataenda na kwa jamaa ataomba msamaha na atasamehewa... na hapo ndipo picha inaanza... huku kot kulikuwa trela... na demu wako atakuwa anafuta sms hata ukimshtukiza hutazikuta tena... kumbuka muonja haonji mara moja............. imekula kwako mbaba.... kuna mshkaji wangu alisamehe dem mara tatu.. mwishowe akaona yatosha.. sasa wewe wasubiria UKIMWI au kuuliwa na PRESHA........
 
hivi mtu akikosea na akaahidi kubadilika kama huyo dada hatakiwi kupewa nafasi nyingine?
we all make mistakes

Mtu akishaanza kuchepuka...haswa mwanamke ni majanga huwa hawarudi njia kuu.
 
Thats so nice of you. Kama hayo ndo hayo, nini kimekufanya ulete kilio chako hapa, na unaposhauriwa unakomaa Mr. Nice Guy?
tehe,ths tym sijataka ushauri nimeshafanya yangu na apa nimeleta mrejesho kama ambavyo niliahid,,ushauri nilihitaj mwanzo not ths tym bibie
 
hivi mtu akikosea na akaahidi kubadilika kama huyo dada hatakiwi kupewa nafasi nyingine?
we all make mistakes

Ntakusamehe ukigonga gari,kuvunja vyombo lkn sio kwenda kumpanulia mtu miguu...sina roho nzuri kiasi hicho.
 
Pole kwa kumegewa, na pole kwa kuendelea kumegewa
 
Mkuu umeona hawa watu walivyo wachokozi yaani hujaomba ushauri lakini wanakushauri
 
Back
Top Bottom