god with us
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 391
- 100
miss chaga nilidhan hua unafanya reasoning,,,megundua ya not!,,,
watu wanawafumania wake zao wanawasamehe sembuse mpenz?,,,
by the way hata uamuzi wa kumsamehe na conversation zile ulitokana na sabab nyng ikiwemo i was sure it was the initial stages,,,mm pia nilikua muumin wa kuacha tena bila hata kufanya reasoning na wala kupgizana kelele bt i found out ni utoto,,,na ndo maana utu uzima dawa,,,
Tumia akili ww kuna tofaut kubwa sana kat ya mpenzi na mke