Mr Eggo
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 2,028
- 1,051
Niwasalam wana mmu,ni matumaini yangu kila moja ni mzima wa afya na anaendelea na majukumu yake ya kila siku,kwa ambao wana matatizo mungu awape ufumbuzi
Lengo la uzi huu ni kutaka kuleta mrejesho wa thread niliyoileta kwenu siku za nyuma kua nahisi naibiwa.
Kwenye ile thread nilieleza wasi wasi wangu juu ya mpenzi wangu na dhumuni langu lakumfanya suprise kuonana nae il nijue kinaga ubaga,na last wikend ndivyo ilivyokua;
Kupitia my causin anaeishi Dodoma nilipanga arrangement kua yeye (causin) ampigie shemeji yake na kuomba kuonana nae siku ya jumamosi usiku ambapo ilikua ndo muda ambao ningefika aliko mpenzi wangu,mambo yakaenda poa na kufikia sa 2 kasoro tayari nkawa nimefika.
Kwa kweli suprise ni nzuri lakini mine was too suprising,,,,kuniona kidogo azimie,tulienda nlipofkia(lorge) then nikaona kabla ya kuanza kusema kilichonileta nikaona vizuri tuonyeshe tumemisiana kivitendo then after that nikamueleza kua kimenileta kummis pia it was her phone na because sikumpa nafasi tena ya kushika simu yake I was so sure ningekuta kila kitu ingizingatiwa she did not expect me.
Alileta mgomo kuweka pattern lakini baadae alifanya hivyo na mimi kuingia ndani kujionea nilikuta conversation kati yake na mtu ambae alinieleza uko nyuma kua ni her supervisor and anamfundisha darasani the charting was so intimate kiasi kwamba I was frustrated.
Kwa bahati nzuri msure(lecture) akapiga simu nikapokea na kumpa ya moyoni kua he has to let the girl go since namjua na kama akiendelea taarifa zitamfikia mke wake pamoja na uongozi wa chuo(hop this wil help),yule bwana ni mtu na familia yake and he was taking advantage of being a lecture kwamba bi dada akizingua atamshika.
Vagi likaanzia apo na kwa kweli it was so painfully kwangu ingawa ni kwel aliniambia yule mwalimu anamtaka ila hakuniambia wanachat maneno mazuri hivo aliniomba msamaha sana kiasi kwamba alikua anagara gara chumba kizima claiming ananpenda and she is not ready kuniacha.
Mpaka asubuhi niliamua kumsamehe na kurudi mkoani kwangu.
Ila kwa kumpa angalizo kua next time tatizo kama hilo no forgiveness,niliona ni busara na yeye pia atajifunza kitu kutokana na incidence,,
Samahanini sana kwa maelezo marefe kwani hata mimi sipend kusoma thread ndefu ila nimelazimika kuwapa picha kamili.
Lengo la uzi huu ni kutaka kuleta mrejesho wa thread niliyoileta kwenu siku za nyuma kua nahisi naibiwa.
Kwenye ile thread nilieleza wasi wasi wangu juu ya mpenzi wangu na dhumuni langu lakumfanya suprise kuonana nae il nijue kinaga ubaga,na last wikend ndivyo ilivyokua;
Kupitia my causin anaeishi Dodoma nilipanga arrangement kua yeye (causin) ampigie shemeji yake na kuomba kuonana nae siku ya jumamosi usiku ambapo ilikua ndo muda ambao ningefika aliko mpenzi wangu,mambo yakaenda poa na kufikia sa 2 kasoro tayari nkawa nimefika.
Kwa kweli suprise ni nzuri lakini mine was too suprising,,,,kuniona kidogo azimie,tulienda nlipofkia(lorge) then nikaona kabla ya kuanza kusema kilichonileta nikaona vizuri tuonyeshe tumemisiana kivitendo then after that nikamueleza kua kimenileta kummis pia it was her phone na because sikumpa nafasi tena ya kushika simu yake I was so sure ningekuta kila kitu ingizingatiwa she did not expect me.
Alileta mgomo kuweka pattern lakini baadae alifanya hivyo na mimi kuingia ndani kujionea nilikuta conversation kati yake na mtu ambae alinieleza uko nyuma kua ni her supervisor and anamfundisha darasani the charting was so intimate kiasi kwamba I was frustrated.
Kwa bahati nzuri msure(lecture) akapiga simu nikapokea na kumpa ya moyoni kua he has to let the girl go since namjua na kama akiendelea taarifa zitamfikia mke wake pamoja na uongozi wa chuo(hop this wil help),yule bwana ni mtu na familia yake and he was taking advantage of being a lecture kwamba bi dada akizingua atamshika.
Vagi likaanzia apo na kwa kweli it was so painfully kwangu ingawa ni kwel aliniambia yule mwalimu anamtaka ila hakuniambia wanachat maneno mazuri hivo aliniomba msamaha sana kiasi kwamba alikua anagara gara chumba kizima claiming ananpenda and she is not ready kuniacha.
Mpaka asubuhi niliamua kumsamehe na kurudi mkoani kwangu.
Ila kwa kumpa angalizo kua next time tatizo kama hilo no forgiveness,niliona ni busara na yeye pia atajifunza kitu kutokana na incidence,,
Samahanini sana kwa maelezo marefe kwani hata mimi sipend kusoma thread ndefu ila nimelazimika kuwapa picha kamili.