Nahisi naibiwa-mrejesho

Nahisi naibiwa-mrejesho

Mr Eggo

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
2,028
Reaction score
1,051
Niwasalam wana mmu,ni matumaini yangu kila moja ni mzima wa afya na anaendelea na majukumu yake ya kila siku,kwa ambao wana matatizo mungu awape ufumbuzi

Lengo la uzi huu ni kutaka kuleta mrejesho wa thread niliyoileta kwenu siku za nyuma kua nahisi naibiwa.

Kwenye ile thread nilieleza wasi wasi wangu juu ya mpenzi wangu na dhumuni langu lakumfanya suprise kuonana nae il nijue kinaga ubaga,na last wikend ndivyo ilivyokua;

Kupitia my causin anaeishi Dodoma nilipanga arrangement kua yeye (causin) ampigie shemeji yake na kuomba kuonana nae siku ya jumamosi usiku ambapo ilikua ndo muda ambao ningefika aliko mpenzi wangu,mambo yakaenda poa na kufikia sa 2 kasoro tayari nkawa nimefika.

Kwa kweli suprise ni nzuri lakini mine was too suprising,,,,kuniona kidogo azimie,tulienda nlipofkia(lorge) then nikaona kabla ya kuanza kusema kilichonileta nikaona vizuri tuonyeshe tumemisiana kivitendo then after that nikamueleza kua kimenileta kummis pia it was her phone na because sikumpa nafasi tena ya kushika simu yake I was so sure ningekuta kila kitu ingizingatiwa she did not expect me.

Alileta mgomo kuweka pattern lakini baadae alifanya hivyo na mimi kuingia ndani kujionea nilikuta conversation kati yake na mtu ambae alinieleza uko nyuma kua ni her supervisor and anamfundisha darasani the charting was so intimate kiasi kwamba I was frustrated.

Kwa bahati nzuri msure(lecture) akapiga simu nikapokea na kumpa ya moyoni kua he has to let the girl go since namjua na kama akiendelea taarifa zitamfikia mke wake pamoja na uongozi wa chuo(hop this wil help),yule bwana ni mtu na familia yake and he was taking advantage of being a lecture kwamba bi dada akizingua atamshika.

Vagi likaanzia apo na kwa kweli it was so painfully kwangu ingawa ni kwel aliniambia yule mwalimu anamtaka ila hakuniambia wanachat maneno mazuri hivo aliniomba msamaha sana kiasi kwamba alikua anagara gara chumba kizima claiming ananpenda and she is not ready kuniacha.

Mpaka asubuhi niliamua kumsamehe na kurudi mkoani kwangu.

Ila kwa kumpa angalizo kua next time tatizo kama hilo no forgiveness,niliona ni busara na yeye pia atajifunza kitu kutokana na incidence,,
Samahanini sana kwa maelezo marefe kwani hata mimi sipend kusoma thread ndefu ila nimelazimika kuwapa picha kamili.
 
Niwasalam wana mmu,ni matumain yangu kila moja ni mzima wa afya na anaendelea na majukumu yake ya kila siku,kwa ambao wana matatzo mungu awape ufumbuz.
Lengo la uzi huu ni kutaka kuleta mrejesho wa thread niliyoileta kwenu siku za nyuma kua nahis naibiwa.Kwenye ile thread nilieleza wasi wasi wangu juu ya mpenz wangu na dhumun langu lakumfanya suprise kuonana nae il nijue kinaga ubaga,na last wikend ndivyo ilivyokua;
kupitia my causin anaeish ddma nilipanga arrangement kua yy (causin) ampigie shmj ake na kuomba kuonana nae siku ya j,moc uck ambapo ilikua ndo muda ambao ningefika aliko mpenz wang,mambo yakaenda poa na kufikia sa 2 kasoro tayar nkawa nimefika.
Kwa kweli suprise ni nzuri lakin mine was too suprising,,,,kuniona kidgo azimie,tuliend nlipofkia(lorge) thn nkaona kabla ya kuanza kusema kilichonleta nikaona vzr tuonyeshe tumemisiana kivitendo then after that nikamueleza kua kimenileta kummic pia it was her fon na coz ckumpa nafasi tena ya kushika cm yake i was sosure ningekuta kila kitu ingizingatiwa she ddnt expect me,,,,
alileta mgomo kuweka pattern lkn bdae alifanya hivyo na mm kuingia ndan kujionea,,,,nilikuta conversation kat yake na mtu ambae alinieleza uko nyuma kua ni her supervisor and anamfundisha darasan,,,the charting was so intimate kias kwamba i was frustrated,,,kwa bahat nzuri msure(lecture) akapiga simu nikapokea na kumpa ya moyon kua he has to let the girl go since namjua na km akiendelea taarifa zitamfikia mke wake pamoja na uongozi wa chuo(hop this wil help),yule bwana ni mtu na familia yake and he was takin adv of being a lecture kwamba bi dada akizingua atamshika,,,vagi likaanzia apo na kwa kwel it was so painfully kwangu ingawa ni kwel aliniambia yule mwl anamtaka ila hakuniambia wanachat maneno mazuri ivo,,,aliniomba msamaha sana kias kwamba alikua anagara gara chumba kizima claiming ananpenda and she z not ready kuniacha,,,,,
Mpaka asbh niliamua kumsamehe na kurud mkoan kwangu,,ila kwa kumpa angalizo kua nxt tyme tatzo kama ilo no forgiveness,niliona ni busara na yy pia atajifunza kitu kutokana na incidence,,
Samahanini sana kwa maelezo maref kwan hata mm cpend kusoma thred ndef ila nimelazimika kuwapa picha kamili.

Heheheh watu mnadanganywa kirahisi sana
Sijasoma.hzo msg but t doesn't make.sense hata kidogo eti "Mr lecturer " hajala mzigo
Wewe kama kumsamehe amua kummsamehe Ukijua kabisa kaliwa.mzigo Mara kadhaa na sio kwa kudanganywa eti anamtaka "anamtaka my foot"
Y don't u ace the reality?
Sikupingi kumsamehe ila nashangaa unavyolazimishwa kudanganywa bro
Use UA real eyes to realise those lies we jamaa duuu
 
Ulichokifanya ni sahihi. Nadhani hatarudia na pia jitahidi kuwa naye karibu umbali wenu yaweza kuwa sababu ya maharamia kuingia. Be serious to rescue your marriage. Thank u been strong
 
USIWEKE MTEGO WA KUMFUMANIA MKEO KAMA HUNA UWEZO WA KUMUACHA tchaoooooooooo kwa stori hiyo mimi wewe ndo nakuona unaonewa samahani lakini
 
yani wewe demu kakuona zoba zoba hapo ni mmoja kuna wengine pia... ila kkwa kuwa unaroho ya huruma hongera na pole kwa uchovu wa safari...

mkuu siku nyingine andika basi maneno yvizuri kuliko kutumia vifupi jamani loh!!1
 
yani wewe demu kakuona zoba zoba hapo ni mmoja kuna wengine pia... ila kkwa kuwa unaroho ya huruma hongera na pole kwa uchovu wa safari...

mkuu siku nyingine andika basi maneno yvizuri kuliko kutumia vifupi jamani loh!!1

hadi amkute mtu yuko juu kilimani anapanda ndo ataacha
 
ningeisoma hiyo ya mwanzo nazani ningekuw kwenye nafasi nzuri zaidi ya kutoa maoni ila hapa sielewi chochote
 
Niwasalam wana mmu,ni matumain yangu kila moja ni mzima wa afya na anaendelea na majukumu yake ya kila siku,kwa ambao wana matatzo mungu awape ufumbuz.
Lengo la uzi huu ni kutaka kuleta mrejesho wa thread niliyoileta kwenu siku za nyuma kua nahis naibiwa.Kwenye ile thread nilieleza wasi wasi wangu juu ya mpenz wangu na dhumun langu lakumfanya suprise kuonana nae il nijue kinaga ubaga,na last wikend ndivyo ilivyokua;
kupitia my causin anaeish ddma nilipanga arrangement kua yy (causin) ampigie shmj ake na kuomba kuonana nae siku ya j,moc uck ambapo ilikua ndo muda ambao ningefika aliko mpenz wang,mambo yakaenda poa na kufikia sa 2 kasoro tayar nkawa nimefika.
Kwa kweli suprise ni nzuri lakin mine was too suprising,,,,kuniona kidgo azimie,tuliend nlipofkia(lorge) thn nkaona kabla ya kuanza kusema kilichonleta nikaona vzr tuonyeshe tumemisiana kivitendo then after that nikamueleza kua kimenileta kummic pia it was her fon na coz ckumpa nafasi tena ya kushika cm yake i was sosure ningekuta kila kitu ingizingatiwa she ddnt expect me,,,,
alileta mgomo kuweka pattern lkn bdae alifanya hivyo na mm kuingia ndan kujionea,,,,nilikuta conversation kat yake na mtu ambae alinieleza uko nyuma kua ni her supervisor and anamfundisha darasan,,,the charting was so intimate kias kwamba i was frustrated,,,kwa bahat nzuri msure(lecture) akapiga simu nikapokea na kumpa ya moyon kua he has to let the girl go since namjua na km akiendelea taarifa zitamfikia mke wake pamoja na uongozi wa chuo(hop this wil help),yule bwana ni mtu na familia yake and he was takin adv of being a lecture kwamba bi dada akizingua atamshika,,,vagi likaanzia apo na kwa kwel it was so painfully kwangu ingawa ni kwel aliniambia yule mwl anamtaka ila hakuniambia wanachat maneno mazuri ivo,,,aliniomba msamaha sana kias kwamba alikua anagara gara chumba kizima claiming ananpenda and she z not ready kuniacha,,,,,
Mpaka asbh niliamua kumsamehe na kurud mkoan kwangu,,ila kwa kumpa angalizo kua nxt tyme tatzo kama ilo no forgiveness,niliona ni busara na yy pia atajifunza kitu kutokana na incidence,,
Samahanini sana kwa maelezo maref kwan hata mm cpend kusoma thred ndef ila nimelazimika kuwapa picha kamili.


Kiasi ulichoniudhi natamani hata nikugongee ili akwambie tulikua tunachat tu huyo gwiji ananitaka kumbe nakula mzigo muda wowote na mm naitwa baby na baby wako!
Nitumie namba yake mwanangu nna hela ya jini hapa haina kazi
Mwache dem wako ale maisha kwanza huku akigawa mzigo taratiiibu kama yupo anakula mua Hawaii au copacabana
 
Wahenga walisha sema kumegewa demu ni siri ya ndani.

huyu jamaa ndo bingwa wa kusamehe akimegewa MMU kati ya wanaume wote .............the merciful oyeeeee magombe junior the mercyful oyeeeeee nakukabidhi trophy la MMU

Z
images
 
Mlamba asali halambi mara moja!
 
Yani wataprinti huu upuuzi afu wataonyeshana wakati wanatafuta cha 3.
 
Back
Top Bottom