Nahisi Mungu ni mbinafsi

Nahisi Mungu ni mbinafsi

Mungu hayupo..fikiria namna nyingine ya kufanya mambo yako
 
kwanza hii Mada sidhani kama ilikuwa inakuhusu, maana nyie wayahudi hamumuabudu Mwenyezi Mungu bali mnamuabudu binadamu mwenzanu ambaye ni Yesu.
Bado unaendeleza uongo tu na kurukaruka, hebu tulia ufundishwe maana vitu unavyotaka kuvijadili unauelewa wake mdogo sana
 
Nahisi Mungu ni mbinafsi kwa sababu zifuatazo

1)humpa amtakaye, Mungu kupitia vitabu vya dini amekuwa akisema mara kwa mara kwamba yeye humpa neema na humfanikishia mahitaji mja amtakaye, hapa moja kwa moja ana dhihirisha sifa ya ubinafsi kwa maana kama hakupendi hata umuombe namna gani hutofanikiwa abadani asilani.


2)humuongoa au humuepusha na maasi mtu amtakaye , hapa pia ana dhihirisha ubinafsi wake, kwa kuwa kama mja fulani anatenda dhambi Mungu atafanya juu chini kumuepusha hata kama huyo mtu hakuwa mtu wa ibada, lakini wakati huo huo wengine wakitenda maovu anawaacha wateketee na hawapi msaada wowote, hapa inaonesha kwa kiasi gani ana ubinafsi.

3)kuna mwengine hata afanye mema kiasi gani, malipo atakayopewa ni madogo sana, lakini mwingine akifanya mema kidogo ana shushiwa lundo la thawabu.

4)Ana waonea sana wanawake, hataki wawe viongozi, kwenye umiliki wa mali hasa Mirathi anataka wanaume tu ndio wapewe vipaumbele vya kumiliki.

5)kuna wengine tangu anazaliwa mpaka anafariki hajawahi kuonja raha yoyote ya dunia na wala hajui dunia ikoje, kwa sababu utakuta amezaliwa kipofu na maradhi tele mwilini na hajawahi kupata nafuu kuanzia ana zaliwa mpaka anafariki.
Upendo wa Mungu ni unconditional hilo unapaswa uelewe. Mungu hatupendi kwasababu ya matendo mema au mabaya. Mabaya siku zote hayatoki kwa Mungu, chanzo cha mabaya ni dhambi. Mungu yupo kinyume na dhambi. Kumbuka mtu akiishi katika dhambi, shetani anakuwa na legal right juu ya maisha yake. Kumbuka shetani kazi take ni kuharibu na kuua.

Yoyote akimwendea Mungu, kamwe hawezi kumkataa. Mungu anapenda watu, lakini hapendi dhambi wanazotenda. Mungu sio mbinafsi, ndio maana akakupa freely ya kuishi unavyopenda. Hakulazimishi. Ni kweli pia lipo kusudi la Mungu, na pia Mungu hutumia mtu yoyote apendaye kufikisha kusudi lake. Hata were ukitaka mwombe, atakutumia
 
Mungu Hana ubinfsi na Hana upendeleo hivyo vyote ulivyo sema kwenye Quran hakuna

Sent using Jamii Forums mobile app
sidhani kama kweli unaijua Quran.

Mungu huwa anasema wazi wazi humpa a mtakaye na humuongoa a mtakaye


mfano mtume Muhammad, Mungu amemuepusha na dhambi mara nyingi sana kabla hajapewa utume.

Alikuwa anapenda sana masuala ya ngoma kuzifata fata, lakini Mungu alikuwa anampa usingizi mzito sana ili asitende dhambi.


Pia naona umebisha mpaka suala zima la usawa wa mwanamke na mwanaume mpaka hapo umedhihirisha ni kwa namna gani ulivyo mweupe juu ya suala hili.
 
Upendo wa Mungu ni unconditional hilo unapaswa uelewe. Mungu hatupendi kwasababu ya matendo mema au mabaya. Mabaya siku zote hayatoki kwa Mungu, chanzo cha mabaya ni dhambi. Mungu yupo kinyume na dhambi. Kumbuka mtu akiishi katika dhambi, shetani anakuwa na legal right juu ya maisha yake. Kumbuka shetani kazi take ni kuharibu na kuua.

Yoyote akimwendea Mungu, kamwe hawezi kumkataa. Mungu anapenda watu, lakini hapendi dhambi wanazotenda. Mungu sio mbinafsi, ndio maana akakupa freely ya kuishi unavyopenda. Hakulazimishi. Ni kweli pia lipo kusudi la Mungu, na pia Mungu hutumia mtu yoyote apendaye kufikisha kusudi lake. Hata were ukitaka mwombe, atakutumia
Hapana ,, wapo wanaokesha nyumba, za ibada lakini hawafanikiwi lakini wengine wasioabudu wanafanikiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom