Nyie wanaume huwa mnafikiria kuwaumiza watoto wa kike sifa like in this life kuna kitu karma lazima kikupate mbaya sasa wanawake husahau tukipata atupendaye wewe mwanaume mawazoMkuu nimeamini hichi kitu...natamani ningetulia maana maskini watoto wa watu walikuwa poa tu....
Naona unatengeneza mazingira ya kuanzisha kitegauchumi cha kanisa usanihi wako uwezi kuwapata watu wenye akili timamu isipokua walokole huko makanisaniHabarini za Siku wakuu.
Wakuu nipo mbele zenu leo yamenifika pabaya sana... Ipo hivi nilikuwa na wanawake tofauti huko nyuma ambao niliwaumiza vibaya sana na kuwafanyia dharau kubwa sana (sababu nilipendwa)....ilifikia kipindi hata mzee analalamika anaota nalalana tu na wanawake tofauti (kitu cha kweli kabisa)...hawakuacha kunitafuta hata nilipowazingua....
Sasa hivi naandika huu Uzi wale wanawake zangu 3 wanamimba kubwa tu....na kinachoumiza sahizi nimekuwa na uoga mbele ya hawa viumbe na kibaya zaidi hata wa kuzugia nakosa wakuu...nahisi Mungu amenichapa bakora maskini mimi hata ninaowasimamisha namba kupata kwa mbinde nnapopatq naambiwa wanamtu....
Wakuu tufanye yote ila tujue Mungu yupo na anafanya kazi ukipendwa shikilia.....
na je inawezekana mzee kanifunga katika maombi? maana alisema ataomba juu yangu ...
Mkuu hili kosa ni kosa tu la ujana...kuisolve hii karma nafanyaje...maana nimekuwa mpweke bila sababu na mawazo yananitesaNyie wanaume huwa mnafikiria kuwaumiza watoto wa kike sifa like in this life kuna kitu karma lazima kikupate mbaya sasa wanawake husahau tukipata atupendaye wewe mwanaume mawazo
Mkuu sio kutafuta mtu ila kuna vitu vinanitokea nashindwa kuvielewa kabisa...Naona unatengeneza mazingira ya kuanzisha kitegauchumi cha kanisa usanihi wako uwezi kuwapata watu wenye akili timamu isipokua walokole huko makanisani
Eti sipati demu wakati wanawake wamekua kama jamvi la chooni sikuizi kilamtu anakamua hata chizi asiyepiga mswaki wala kuoga anapata demu mkali bora kwao ni kuwafichia siri isijulikane wametembea na wewe
Jisamehe mwenyewe tubu kwa Mungu wako waombe msamaha uliowatesa kiujanja mioyo yao ikiwa na furaha nawe utakuwa huruMkuu hili kosa ni kosa tu la ujana...kuisolve hii karma nafanyaje...maana nimekuwa mpweke bila sababu na mawazo yananitesa
Na usipo jirekebisha mke utakaye mpata lazima atakuumiza laa atakuwa pasua kichwaMkuu hii bakora naihisi kabisa...sio ya mchezo...sahizi hata password haina maana
Kabisa mkuu...Pole sana. Mungu atusamehe tuUsinikumbushe hayo ndugu yangu. Kipindi nipo shule enzi hizo kuna demu alinipendaga harafu akanitamkia mbele ya darasa me nikamzibua bonge la kibao harafu nikaenda kumshitakia kwa waalimu officen. Unajua nini kilitokea katika maisha baada ya shule najuta kumkataa au kuzuia hisia za yule binti. Kuna mda nakumbuka natamani nimuone yule binti nimuombe msamaha lakini sijui nitampatia wapi. Sitaki hata kusimulia yaliyo nikuta. Amini tu mungu yupo inabidi tubadilike.
Ah hiyo ni kuvumilia tu full dose.Kabisa Mkuu karma sio nzuri....hivi inatokaje hii kitu??
na je inawezekana mzee kanifunga katika maombi? maana alisema ataomba juu yangu ...