Nahisi Mungu ananichapa kiboko

Pole. Ila ni wakati wa kutubu na kumrudia Mungu huku ukiwa responsible kwa matendo yako. Karibu duniani braza
 
Mkuu yani wote wamenikimbia hata wa kuzugia nakosa....Ndo maana nkahisi labda Mungu amenichapa bakora
Jifunze kutokuumiza wengine kihisia bila hvo malipo hapa hapa unaweza kuja kutulia ukaoa, mkeo akawa anakuumiza, tubu waombe msamaha hata kiujanja machozi ya wanawake si mazuri
 
Jifunze kutokuumiza wengine kihisia bila hvo malipo hapa hapa unaweza kuja kutulia ukaoa, mkeo akawa anakuumiza, tubu waombe msamaha hata kiujanja machozi ya wanawake si mazuri
Mkuu nimeamini hichi kitu...natamani ningetulia maana maskini watoto wa watu walikuwa poa tu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom