Jifunze kutokuumiza wengine kihisia bila hvo malipo hapa hapa unaweza kuja kutulia ukaoa, mkeo akawa anakuumiza, tubu waombe msamaha hata kiujanja machozi ya wanawake si mazuriMkuu yani wote wamenikimbia hata wa kuzugia nakosa....Ndo maana nkahisi labda Mungu amenichapa bakora
Acha umalaya una uhakika gan mimba sio zako we sio kidumeMkuu kinachoumiza hizo mimba zote 3 sio zangu..
Mkuu nimeamini hichi kitu...natamani ningetulia maana maskini watoto wa watu walikuwa poa tu....Jifunze kutokuumiza wengine kihisia bila hvo malipo hapa hapa unaweza kuja kutulia ukaoa, mkeo akawa anakuumiza, tubu waombe msamaha hata kiujanja machozi ya wanawake si mazuri