Nahisi mpenzi wangu ana govi

Nahisi mpenzi wangu ana govi

Status
Not open for further replies.
Wanawake na nyie...mnhhhh.

umepata bahati ya kuliwa na "natural man " unapiga mikelele...waulize wambea wenzio kuwa mara ya mwisho kuliwa na mwenye govi ilikuwa lini utashangaa...wanawake wote mjini na ujanja wao hawajawahi kuliwa na mwenye govi...mtunze sana huyo mchumba wako..wakina wema na lulu wakimjua umekwishaaaa.

kwa taarifa yako tuu..wanasema wenye magovi ni "watamu" kuliko waliokata....nimelimiss govi langu masikini....na pia wanasema team vibamia woote wamekata hivyo basi magovi wooote ni team mandingo.

Unatamani govi? we ni jinsia gn?
 
DIKE

duh kweli jf kiboko.
 
Last edited by a moderator:
DIKE

mimi naomba kuuliza hivi mkiingizwa hamuwezi kujua hii imekatwa au hii govi???!!! swali kwa akina dada hili.
 
Last edited by a moderator:
kwa mujibu wa makabila mengine ni marufuku kwa mwanamke kutazama mashine ya mwanaume.

Mbona wale wakina "MURAAA"... wanandaliwa ngoma ya Litungu na kisha kutembezwa hadharani na hutakiwi kulia lia hasa mbele ya mademu.
 
Ahahaaa...nimecheka sana swali la mdau.
ni kweli tumuulize demu wa mshikaji.
Kwani jamaa anaenda ukweni kujitambulisha yeye au anaenda kutambulisha govi lake?

Hahahahahahhahahahahahahahah Jf raha sana jamani duuuuhhh
 
DIKE

Anapokumeng'enya unasikia tofauti?

Govi ndo inaoa au mwanaume?

Anakuridhisha au hupati unachokitegemea kwake?

Nahisi kama umetekwa akili utapoteza bahati maana there is never a perfect person
 
Last edited by a moderator:
Kama unakojozwa vizuri maswali yanatoka wapi
 
INANIKUMBUSHA MKONO WA SWETA KUOGA MTONI,WABANTU WENGI TUNATAHIRIWA TUKISHA KUWA WATU WAZIMA SASA KUTOKANA NA KUBADILIKA MAMBO YA HAPA NA PALE WATU HUPITIWA/HUSAHAU.:A S wink:
 
Nasikia kuna madhara ya govi ndio mana naogopa.

Mwenye govi ni rahisi kukuambukiza magonjwa sababu anapotoka kushiri tendo na mtu mwingine akaja kwako ukashiriki nae wale bacteria wanabaki kwenye hilo govi na kama sio msafi kukuambukiza wewe ni rahisi tofauti na aliyetahiriwa
 
nilitamani nitest govi
ila mpenzi wangu hana ingekua kuna uwezo mtu analivaa alafu unalivua ningemwambia

ila hayo magovi ni matamu balaaa nasikia

vipi ukinaniii unajisikiaje????
 
DIKE

Kwani govi ni ukoma ama UKIMWI? Acha mapenzi ya secondary wewe kabla ya kuvuna marks za bure za kushirikiana kulitoa govi lake wewe unataka kutoa maamuzi ya kiwehu
 
Last edited by a moderator:
Mwambie kabla ya kwenda kujitambulisha kwenu unataka kukagua mgegedo wake ili kuhakikisha kama ni govi au la. Kama ni govi mwambie ili kwenda kwenu inabidi akaliondoe au humkaribishi kwenu na mahusiano unakata kama hutaki papuchi yako iendelee kugusana na govi.

DIKE
 
ukikuwa utaelewa kwamba kuwa au kutokuwa na govi si kigezo cha kupata raha
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom