Nahisi mkuu wa shule ananichukulia mke wangu

Nahisi mkuu wa shule ananichukulia mke wangu

na wewe uwe unamtembelea homu kwake km hayupo! halaf mwachie zawad ya kuku mke wake au chochote km zawad,atapata ujumbe wako.ukiona anaendelea mgegede mke wake
 
Huyo Dawa yake ndogo tu itafute tindikali kwa udi na uvumba mvizie sehemu mmwagie piga pale pale machoni ili akiwa anafata wake za watu awe anapapasa!!
 
Duh!the world is not fair!this smells suspicious aisee!nahisi si busara kutumia kamba hapa weka mazingira ya kuondoka na mtaji kutoka kwa mkuu!
 
Jitahidi na wewe umutumbee nae demu wake.Itakupunguzia maumivu'
 
zuga umeenda safari rudi kimya kimya...
upate nafasi ya kuthibitisha doubts zako!
Then you can jinyonga in one peace..
 
wanawake wapo wengi tu, we endelea kuchkua mapene kwa boss jifanye kama hujui afu tafta mke mwingine bombaa ukisharizika na pesa fumania timua afu weka mtoto mwingine ndani ........hahaha!!
 
Mhg hii ni kali balaa at smtms inafaa hasa mhm c kuua so cha moto atakipata. Atawaonea wp tena? Ndio dawa yao hao.
Huyo Dawa yake ndogo tu itafute tindikali kwa udi na uvumba mvizie sehemu mmwagie piga pale pale machoni ili akiwa anafata wake za watu awe anapapasa!!
 
Naona umepokea maoni ya kutosha Mkuu, tuonane jtatu tukajadili skendo ya Mwanafunzi kutoka na Mkeo !!! Usiangaike kuntambua mimi ni nani Wki kesho mimi ni Msaidizi wa T.O.D.
 
Mwalimu acha kuishi kwa kuhisi.. La muhimu wewe tegesha mtego uwe na uhakika na hisia zako. Kabla ya kutegesha uwe umefikiria kinaga ubaga matokeo ya huo mtego .. Masuala ya kujinyonga na kutuacha wenzio twala bata sio kabisa.
 
dawa ya mchawi mpasulie. mlipue mke wako .watalalamika lakini mwisho wa siku watajua umeshtukia. hata makazini ukimlipua bosi wako katika mahali anapokuonea atajirusharusha kule na kule kutumia vitisho vya ubosi wake lakini atjirekebisha kwa yale uliokua unalalamikia
 
Mwalimu bado unahisi au umeshathibitisha?
 
Back
Top Bottom