Nahisi mkuu wa shule ananichukulia mke wangu

Nahisi mkuu wa shule ananichukulia mke wangu

niende nae wapi sasa! wakati mwingine nipo class jamaa anaenda nyumbani kwangu.sasa mwisho si nitakaa nae darasani!!

ww mtafute siku ukimkuta ana mkeo mgegede apopo mbele ya mkeo
 
Bosi mkurugenzi kitambi meneja.... hahahaa.. ukijiridhisha kuwa anamla wife kabla hujajitundika wewe ye mkate korodani zake umpe ale kwanza.. ukijiua afu umuache na p.umbu zake ndň atamkanyaga wife wako hadi atasimamia..
 
Mvizie mgegede mbele ya macho ya mke wako tena unakata utepe mwenyewe........ Changamka..
 
Bosi mkurugenzi kitambi meneja.... hahahaa.. ukijiridhisha kuwa anamla wife kabla hujajitundika wewe ye mkate korodani zake umpe ale kwanza.. ukijiua afu umuache na p.umbu zake ndň atamkanyaga wife wako hadi atasimamia..

usione tumekonda ukadhania mateja kama nyumba unayokaa ni ya shule tuliza munkari ili wanao wasile nyasi.
 
Kama ni mikoani mkuu haya mambo mbona ya kawaida!Wewe shukuru Mungu mkeo hajanogewa ndio maana umemstukia,akinogewa tu hata kuhisi huwezi tena maana kuna kamati za ufundi za hatari ambapo unagegedewa mkeo na jamaa anamrudisha kwako alafu wewe unamchangamkia kama mjomba wako wao wanasema "kidijitali"Ushauri:Mwombe Mungu akupe hekima usije ukafanya maamuzi kwa hisia,pia mtolee sadaka ya shukrani kwa kibali alichokupa hadi ukapata upendeleo kwa mkuu wako,kisha ongea na mkeo.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
niende nae wapi sasa! wakati mwingine nipo class jamaa anaenda nyumbani kwangu.sasa mwisho si nitakaa nae darasani!!

......mkeo ndio kakwambia?

Halafu, kama anauwezo wa kwenda kwa mkeo ukiwa class, kumbe hata ukisafiri wahka wa buree!

Wewe deal na mkeo kwanza.....
 
kumbe ulikuwa unapewa upendeleo wa safari mapadiem kibao hayo ndio malipo yake kuwa mvumilivu
 
nenda katie jungu kwa mkeo ''chomekea katika stori kuwa headmaster ana ngoma..halafu sikilizia reaction ya mkeo' chatts55
 
Last edited by a moderator:
Naikumbuka sana JAMBO FORUMS HUWEZI KUKUTANA NA WATU KAMA ETI MWALIMU HATA LUGHA AJUI NA ANAOMBA USHAURI KWA WATU AMBAO UNAWEZA KUKUTA NI WANAFUNZI WAKE.
 
Naikumbuka sana JAMBO FORUMS HUWEZI KUKUTANA NA WATU KAMA ETI MWALIMU HATA LUGHA AJUI NA ANAOMBA USHAURI KWA WATU AMBAO UNAWEZA KUKUTA NI WANAFUNZI WAKE.

mkuu mbona na wewe umeandika... AJUI?????
 
peleka MMU habar kama hz...im not against this thread bt i dont thnk if this is the ryt place for such threads.
 
Mkuu acha uvivu fanya uchunguzi wa kina kama ni kweli utajua tu siku
za mwizi ni 40, ukimkamata huyo m/mkuu mkate marinda na kumsafisha nyota tena mbele ya wf wako kisha na huyo wf wako mchapishe lapa.
 
kwani una hati miliki ya papuchi ya mkeo? wacha wivi wa kijinga
 
kaka kwani anakutuma bure? we hizo shiling kula kama kweli utammbana tu. sasa cha kufanya tafuta reaction ya mkeo kwa kumwambia unasikia mkuu ana ngoma yaani UKIMWI kama kakamuliwa kweli atareact tu kinamna.
 
Back
Top Bottom