BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
niende nae wapi sasa! wakati mwingine nipo class jamaa anaenda nyumbani kwangu.sasa mwisho si nitakaa nae darasani!!
. Unasema????
Yaani ukiwa darasani mwalinu mkuu anaenda nyumbani kwako???
Na wewe umetulia tu?
Sasa fanya hivi ukiwa class ukijua mwl kaenda kwako timka kimya kimya mpaka kwako, then kampe warning kali
Malizia warning kwa wife
Halafu muwinde.......
Hivi mnaanzaje mazoea ya kutembeleana?
Ndo maana ofsn sitaki mazoea na watu