taiter
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 241
- 687
Km ni kweli hongera sana MkuuStory yako mwanzo hadi mwisho linakua na matukio kadhaa ya kupiga! Why inakua hivo!? Kama unaona tabia yake inakushinda mwanamke muache aende wewe ukipigwa utajisikiaje!? Au bingo yako aje kwako kukulalamikia anabondwa na mumewe utachukua uamuzi gani!?
Nina mke mwaka wa 11 sijawahi mpiga hata kumtishia, sijawahi piga watoto wangu! Weka misimamo ya vile unataka maisha yako yawe kupiga sio suruhisho! Unampiga mwanamke baadae baby I love you unampandia juu! Acheni mambo ya hivo!