Nahisi mke wangu anachepuka

Story yako mwanzo hadi mwisho linakua na matukio kadhaa ya kupiga! Why inakua hivo!? Kama unaona tabia yake inakushinda mwanamke muache aende wewe ukipigwa utajisikiaje!? Au bingo yako aje kwako kukulalamikia anabondwa na mumewe utachukua uamuzi gani!?

Nina mke mwaka wa 11 sijawahi mpiga hata kumtishia, sijawahi piga watoto wangu! Weka misimamo ya vile unataka maisha yako yawe kupiga sio suruhisho! Unampiga mwanamke baadae baby I love you unampandia juu! Acheni mambo ya hivo!
Km ni kweli hongera sana Mkuu
 
Ndoa za watoto ndio shidaa sie tupo kwenye ndoa mwaka wa 14 huu hakuna hofu ya kumegewa.
Sa hivi nipo huku JNHPP mwezi wa 2 huu natafuta pesa ikifika miezi naenda fanya show ya kibabe wiki nzima then narudi kusongesha.
Mkuu upo Corona,Sino ya Suni(ndogo )au Sino kubwa?mi nipo Saddle Dam huku
 
Naendelea...

Alivyofika dar maisha yakaendelea kama kawaida. kwa siku za mwanzo hakuonesha mabadiliko yoyote ad nkajisifu kuwa nimefanikisha kumbadilisha kukbe nilikua najiongopea tu.

Kuna kijitabia akakianza, Ukitaka kumdinya kama ndio kwanza kamalza kula bas hataki ad chakula kishuke na mimi mda huo nakua nimetoka job kwaio nikijilegeza tu kitandan usingizi huooooo ad morning na nikimwamsha asubuh nikitaka kudinya bas ooh tumbo linaniuma sababu kibaaaao nikawa najiulza huyu ana nn.

Nikabadili mbinu nikawa nachelewa kurud kusud ili nikifike nimkute ashakula na kama chakula kishashuka chini ili nikitaka kudinya asiweke visababu vyake... kwel nilifanikisha kama mara kadhaa hivi lakini sometimes sababu ya tumbo kumuua ikawa haiishi japokua sometimes akiamua bas utakaa kifuani hata lisaa ba nusu japokua sijisifii lakini ndio nilivyoo sina show ya dakika 20 ni kuanzia dakik40 kwenda mbeleee..

Basi sometimes namuulza mbona unapenda kuweka vijisababu kibaaaaao na kama skutoshelezi si useme niongeze Bas jibu lake ni moja tu " Ningekua siridhiki ningekua nishaondoka kwetu na unavyoniona nipo hapa ujue naridhika" sasa najiulza kwann aweke vijisababu kibaaao nikitaka kumdinya.

Sasa jana nafika home kama kawaida Nikamkuta anaangalia Tamthilia Kumwambia Abandike maji ya kuoga akajibu Staki kumuulza kwann Anasema ningemtaarif kabla sjafika home.

Nikachomoa mkanda nikamchalaz kweli kweli af nikaandaa maji ya kuoga kama kawaida nikaenda kukoga nikalala asubuh Kadai anataka kwenda kwao Nimempa naul apande Gar coz Treni ad Jnne Nimemwambia funguo aiache kwa mwenye nyumba mimi huyooo kazini.

Sasa ushauri wenu Mwenzi ujao Naplan ya kupeleka mahari kwao kama tarh 16 or 18 Vp huyu mwanamke anafaa kuolewa au nipige chini japokua nimemtolea barua na kwao najulikana vizur tu. kuhusu kuchepuka mimi sina hizo mambo Sidingi seem nyingne yoyotee...

......Mwisho......
Mahari bado hujalipa halafu umeanza unyanyasaji?
 
Hahahhahaa ila kuna wanawakr tumetofautiana manyanyaso aise na mateso..mtoa mada una bahati asiee umempata huyo mwanamke...
Eti kudinya😶!yaan ww unatoka tu kazini unataka kumpanda dada wa watu kisa unataka kumuoa? Mapenzi gan hayo jamani? 😀😀! Dizaini unamnyanyasa aisee .uwi ..! Ptu
Unaolewa ili udinywe
 
Wanawake tafuteni hela.

Imagine anakurudisha kwenu kama furushi, ukitaka kurudi lazima umuombe nauli.

Iwe amethibitisha au hajathibitisha kama umechepuka unakula kipondo

Tafuteni hela jamani

Tafutenj hela wanawake
Kwahyo watafute hela ili wawe na kiburi au sio
 
Kuna saa ukisoma Visa vya hili Jukwaa unaweza kwenda madhabahuni kumtolea sadaka ya malimbuko , ya mwaka, ya matokeo, ya mavuno baba wa watoto wako /partner wako / mumeo.

Haki vile!!
Kuna wanaume ni daaaaah!!
Mmojawapo ni wewe.
 
Kama maada inavyojieleza hapo juu, Nahisi wife anamegwa nje coz kuna mambo anayafanya humu ndani nahisi ipo hivyo.

Picha linaanza imefika stage kawa na kiburi nikimwambia kitu anaweza kukujibu staki ikiwa ni moja ya majukumu yake humu ndani so nashindwa kuelewa nini kinasababisha hadi awe hivi.

Kama jana nimefika home kama kawaida nimemkuta anaangalia tamthilia (Chizi Mapenzi, Star Swahili) nikamwambia anichemshie maji ya kuoga coz mimi ni muumini wa maji ya moto kutokana na hii kazi nnayoifanya mara nyingi nikirud Huwa nahis baridi sana na kulala bila kuoga siwezi, tuendelee na kibao.

Kumwambia anichemshie akakataa katukatu nikajiuliza huyu ana nini mbona yupo hivi ikiwa mchana aliniomba pesa kuna mazaga yake akanunue nilimpatia bila ubishi.

Mwanaume nikatoa sufuria nikawasha gesi nikainjika maji yalivyochemka nikaweka kwenye ndoo ili nikaoge cha ajabu ile namalzia kuoga huyuuu na yeye akataka kuoga sikumkatalia akaoga tukaingia ndani kula na msos ukalika bila tatzo.

>>> Inaendelea hapa
Mna umri gani wewe na mpenzio? Mapenzi ya kukaguana simu mi naona kama ya kitoto sana, sijui kwa nini au bado hamna uhakika na maamuzi yenu ya kuingia kwenye mahusiano?

Utakufa kwa presh chief, kama unahisi mtu sio mwaminifu achana nae, tafuta mtu mwaminifu ambae huna haja ya kukagua simu yake
 
Kuna saa ukisoma Visa vya hili Jukwaa unaweza kwenda madhabahuni kumtolea sadaka ya malimbuko , ya mwaka, ya matokeo, ya mavuno baba wa watoto wako /partner wako / mumeo.

Haki vile!!
Kuna wanaume ni daaaaah!!
Mmojawapo ni wewe.
Umeonaeeee, yaani mtu unapokea mpaka simu ya mpenzi wako, mambo ya kitoto sana
 
Naendelea...

Alivyofika dar maisha yakaendelea kama kawaida. kwa siku za mwanzo hakuonesha mabadiliko yoyote ad nkajisifu kuwa nimefanikisha kumbadilisha kukbe nilikua najiongopea tu.

Kuna kijitabia akakianza, Ukitaka kumdinya kama ndio kwanza kamalza kula bas hataki ad chakula kishuke na mimi mda huo nakua nimetoka job kwaio nikijilegeza tu kitandan usingizi huooooo ad morning na nikimwamsha asubuh nikitaka kudinya bas ooh tumbo linaniuma sababu kibaaaao nikawa najiulza huyu ana nn.

Nikabadili mbinu nikawa nachelewa kurud kusud ili nikifike nimkute ashakula na kama chakula kishashuka chini ili nikitaka kudinya asiweke visababu vyake... kwel nilifanikisha kama mara kadhaa hivi lakini sometimes sababu ya tumbo kumuua ikawa haiishi japokua sometimes akiamua bas utakaa kifuani hata lisaa ba nusu japokua sijisifii lakini ndio nilivyoo sina show ya dakika 20 ni kuanzia dakik40 kwenda mbeleee..

Basi sometimes namuulza mbona unapenda kuweka vijisababu kibaaaaao na kama skutoshelezi si useme niongeze Bas jibu lake ni moja tu " Ningekua siridhiki ningekua nishaondoka kwetu na unavyoniona nipo hapa ujue naridhika" sasa najiulza kwann aweke vijisababu kibaaao nikitaka kumdinya.

Sasa jana nafika home kama kawaida Nikamkuta anaangalia Tamthilia Kumwambia Abandike maji ya kuoga akajibu Staki kumuulza kwann Anasema ningemtaarif kabla sjafika home.

Nikachomoa mkanda nikamchalaz kweli kweli af nikaandaa maji ya kuoga kama kawaida nikaenda kukoga nikalala asubuh Kadai anataka kwenda kwao Nimempa naul apande Gar coz Treni ad Jnne Nimemwambia funguo aiache kwa mwenye nyumba mimi huyooo kazini.

Sasa ushauri wenu Mwenzi ujao Naplan ya kupeleka mahari kwao kama tarh 16 or 18 Vp huyu mwanamke anafaa kuolewa au nipige chini japokua nimemtolea barua na kwao najulikana vizur tu. kuhusu kuchepuka mimi sina hizo mambo Sidingi seem nyingne yoyotee...

......Mwisho......
Una utoto mwingi, unamtandika mke na mkanda kweli?

Mpaka sasa naona wewe ndio tatizo, the way you treat her you should expect the same treatment from her, kupishana kauli kupo lakini isifike hatua ya kumpiga, muheshimu na umchukulie kama mke, mambo madogo madogo kama maji ya kuoga ni ya kuambizana kwa upendo na kurekenishana.

usitumie nguvu kuishi na mwanamke bali tumia AKILI
 
Kwa story hii we jamaa unaonekana sio romantic kabisa aisee, wewe ni kudinya tu 😂😂. Hebu uwe unamfurahisha kidogo mkeo labda ndio sababu anachepuka.
Labda maisha yako wewe ukitoka job ukafika tu home huwa hivi:-
Mmeshindaje hapa? Flora kanibandikie maji ya kuog.
Akibandika ukaoga, unakula baada ya hapo sasa ndo unaomba mbususu unadinya weeee siku imeisha 😂😂.
Mleteee hata vizawadi sio kipondo na kidinyo tu mkuu. Kwa mimi nahisi wewe ndio sababu so hapo mnaoneshana ubabe ko wewe tumia akili sio miguvu.
 
Naendelea...

Alivyofika dar maisha yakaendelea kama kawaida. kwa siku za mwanzo hakuonesha mabadiliko yoyote ad nkajisifu kuwa nimefanikisha kumbadilisha kukbe nilikua najiongopea tu.

Kuna kijitabia akakianza, Ukitaka kumdinya kama ndio kwanza kamalza kula bas hataki ad chakula kishuke na mimi mda huo nakua nimetoka job kwaio nikijilegeza tu kitandan usingizi huooooo ad morning na nikimwamsha asubuh nikitaka kudinya bas ooh tumbo linaniuma sababu kibaaaao nikawa najiulza huyu ana nn.

Nikabadili mbinu nikawa nachelewa kurud kusud ili nikifike nimkute ashakula na kama chakula kishashuka chini ili nikitaka kudinya asiweke visababu vyake... kwel nilifanikisha kama mara kadhaa hivi lakini sometimes sababu ya tumbo kumuua ikawa haiishi japokua sometimes akiamua bas utakaa kifuani hata lisaa ba nusu japokua sijisifii lakini ndio nilivyoo sina show ya dakika 20 ni kuanzia dakik40 kwenda mbeleee..

Basi sometimes namuulza mbona unapenda kuweka vijisababu kibaaaaao na kama skutoshelezi si useme niongeze Bas jibu lake ni moja tu " Ningekua siridhiki ningekua nishaondoka kwetu na unavyoniona nipo hapa ujue naridhika" sasa najiulza kwann aweke vijisababu kibaaao nikitaka kumdinya.

Sasa jana nafika home kama kawaida Nikamkuta anaangalia Tamthilia Kumwambia Abandike maji ya kuoga akajibu Staki kumuulza kwann Anasema ningemtaarif kabla sjafika home.

Nikachomoa mkanda nikamchalaz kweli kweli af nikaandaa maji ya kuoga kama kawaida nikaenda kukoga nikalala asubuh Kadai anataka kwenda kwao Nimempa naul apande Gar coz Treni ad Jnne Nimemwambia funguo aiache kwa mwenye nyumba mimi huyooo kazini.

Sasa ushauri wenu Mwenzi ujao Naplan ya kupeleka mahari kwao kama tarh 16 or 18 Vp huyu mwanamke anafaa kuolewa au nipige chini japokua nimemtolea barua na kwao najulikana vizur tu. kuhusu kuchepuka mimi sina hizo mambo Sidingi seem nyingne yoyotee...

......Mwisho......
Wabena hatuko hivyo huyo kazaliwa morogoro
 
Back
Top Bottom