Nahisi mke wangu anachepuka

Nahisi mke wangu anachepuka

Bado hujafuzu kuoa tulia kwanza ukishaacha hizo asira za kuchapa mke ndo utakua umekau
 
Hapo hujamuingiza ndani rasmi anakunyima,akiingia ndani rasmi kitakachofuata ni kuchomana moto.

Jombaa suala la mapenzi ni lako na mwenza wako.utashauriwa hapa lakini ukija ndani mawazo yanarudi kwako.
Za kuambiwa changanya na zako.

Ukijua hitaji lako la kuoa ni nini basi jibu utalipata kama huyo mwanamke anakufaa au hakufai.

Mfano mimi hitaji langu la kuoa ni kwamba nipate u.chi kwa muda muafaka.sasa nikiwekewa vikwazo na kunyimwa maana yake ni kwamba ndoa hiyo hainifai.mkuu jitafute
umenifurahisha Sana hapo,kwenye jukumu lako la kuoa.
 
Wabena hatuna hizi mambo za kuchepuka siyo wanawake wala wanaume.


Wabena ni wahehe baadhi yao wanaoongoza Kwa unafiki na hila!

Ni watu wakujipendekeza sana hata Kwa gharama ya wengine huwa hawajali.

Anachosema mdomoni sicho anachomaanisha moyoni.

Halafu kwa ushirikina na uchawi usiulize!

Mbona kwenye Wabena wengi ndio kunaongoza kwa maambukizi ya virusi vya ukimwi?

Kwa mujibu wa Tacaids Njombe, Iringa wanaoongoza wengine wakifuatia.
 
Umewahi kuwa na Mwanamke wa kibena mpaka iseme wanawake wa kibena ni jeuri . Wanawake wakibena wanajulikana kama wanawake wavumilivu na watiifu



Thubutuu!

Wanajua ku-pretend sana!

Sio wa kuwachukulia poa hata kidogo.
 
Wabena ni wahehe baadhi yao wanaoongoza Kwa unafiki na hila!

Ni watu wakujipendekeza sana hata Kwa gharama ya wengine huwa hawajali.

Anachosema mdomoni sicho anachomaanisha moyoni.

Halafu kwa ushirikina na uchawi usiulize!

Mbona kwenye Wabena wengi ndio kunaongoza kwa maambukizi ya virusi vya ukimwi?

Kwa mujibu wa Tacaids Njombe, Iringa wanaoongoza wengine wakifuatia.
Mara ya mwisho mi niliona Mtwara, lindi na Tanga zinaongoza. Takwimu zako ni za mwaka gani?

Pia tambua kwamba maeneo mengi ambayo maambukizi ni makubwa kuna shida ya elimu duni na elimu ya uzazi kwa ujumla.

SIfa ulizoandika za hila, uchawi na unafiki ni umechukua sifa za makabila mengine ya Njombe na kutugea wabena.

Hapo ndiyo umekosea.
 
Wabena ni wahehe baadhi yao wanaoongoza Kwa unafiki na hila!

Ni watu wakujipendekeza sana hata Kwa gharama ya wengine huwa hawajali.

Anachosema mdomoni sicho anachomaanisha moyoni.

Halafu kwa ushirikina na uchawi usiulize!

Mbona kwenye Wabena wengi ndio kunaongoza kwa maambukizi ya virusi vya ukimwi?

Kwa mujibu wa Tacaids Njombe, Iringa wanaoongoza wengine wakifuatia.
Usije ukajichanganya eti ukaoa mhehe au mbena...ni wanafiqi wa olympics. Anaongea hiki moyoni ana kile
 
Kama maada inavyojieleza hapo juu, Nahisi wife anamegwa nje coz kuna mambo anayafanya humu ndani nahisi ipo hivyo.

Picha linaanza imefika stage kawa na kiburi nikimwambia kitu anaweza kukujibu staki ikiwa ni moja ya majukumu yake humu ndani so nashindwa kuelewa nini kinasababisha hadi awe hivi.

Kama jana nimefika home kama kawaida nimemkuta anaangalia tamthilia (Chizi Mapenzi, Star Swahili) nikamwambia anichemshie maji ya kuoga coz mimi ni muumini wa maji ya moto kutokana na hii kazi nnayoifanya mara nyingi nikirud Huwa nahis baridi sana na kulala bila kuoga siwezi, tuendelee na kibao.

Kumwambia anichemshie akakataa katukatu nikajiuliza huyu ana nini mbona yupo hivi ikiwa mchana aliniomba pesa kuna mazaga yake akanunue nilimpatia bila ubishi.

Mwanaume nikatoa sufuria nikawasha gesi nikainjika maji yalivyochemka nikaweka kwenye ndoo ili nikaoge cha ajabu ile namalzia kuoga huyuuu na yeye akataka kuoga sikumkatalia akaoga tukaingia ndani kula na msos ukalika bila tatzo.

>>> Inaendelea hapa
kama wewe ni mwanaume wa nyumba, unamtuma mkeo jambo, haumwi na hata angeumwa angetoa maelezo yenye heshima, kama anakukatalia macho makavu kabisa, siwezi kusema hapo kwamba anachepuka, ila ndoa yenu inahitaji imatengenezo. au wewe sio mwanaume halisi. nakushauri kaa naye kitako mkubaliane, pale ndani nani mwanaume na nani mwanamke, heshima ya namna gani inampasa mume na mke, majukumu ya mume na ya mke, na mkubaliane atakayevunja au kuvuka mpaka afanyweje ili kuepusha ugomvi utakaoleta madhara makubwa.
 
Turud nyuma kidogo.

Ni miez 8 sasa tangu nimeanza kuishi naye na hakuwa na tabia hizi siku za mwanzo.

Nilipoona anastahili kuanza familia na mimi bila kinyingo nilimueleza kuwa nataka nimuoe. akakubali na akataka nipeleke barua kwao ili process zingine zifuate. Kabila lake ni Mbena wa Njombe na wazaz wake wanaishi Morogoro kijiji kapuni.

Nilifanya process zote nikapata mshenga barua ikaenda. Majibu kurud kias kilichoandikwa kwa ujumla ni kama 1.5M na mimi bila ubishi nikapromis ntapelela nusu or 900K wazee wakakubaliana na mimi. Nilipromis mwez wa 3 or Wa 4 ntakua tayari nimepeleka mzigo ili tarehe ya Ndoa ipangwe kabisa but Mambo yakayumba kidogo kile kias hakikukamilika kwahiyo nikawa nimefeli na wazaz wake nikawapromis kuwa mwez wa 6 nitapeleka hicho kias coz kwa mwez wa 3 or wa 4 nimefeli. Nao bila kinyongo wakanikubalia.

>>> Inaendelea hapa
Sasa kama kuandika kisa kizima huwezi ni habari ya itaendelea, ni vipi usimegewe?
 
Naendelea...

Alivyofika dar maisha yakaendelea kama kawaida. kwa siku za mwanzo hakuonesha mabadiliko yoyote ad nkajisifu kuwa nimefanikisha kumbadilisha kukbe nilikua najiongopea tu.

Kuna kijitabia akakianza, Ukitaka kumdinya kama ndio kwanza kamalza kula bas hataki ad chakula kishuke na mimi mda huo nakua nimetoka job kwaio nikijilegeza tu kitandan usingizi huooooo ad morning na nikimwamsha asubuh nikitaka kudinya bas ooh tumbo linaniuma sababu kibaaaao nikawa najiulza huyu ana nn.

Nikabadili mbinu nikawa nachelewa kurud kusud ili nikifike nimkute ashakula na kama chakula kishashuka chini ili nikitaka kudinya asiweke visababu vyake... kwel nilifanikisha kama mara kadhaa hivi lakini sometimes sababu ya tumbo kumuua ikawa haiishi japokua sometimes akiamua bas utakaa kifuani hata lisaa ba nusu japokua sijisifii lakini ndio nilivyoo sina show ya dakika 20 ni kuanzia dakik40 kwenda mbeleee..

Basi sometimes namuulza mbona unapenda kuweka vijisababu kibaaaaao na kama skutoshelezi si useme niongeze Bas jibu lake ni moja tu " Ningekua siridhiki ningekua nishaondoka kwetu na unavyoniona nipo hapa ujue naridhika" sasa najiulza kwann aweke vijisababu kibaaao nikitaka kumdinya.

Sasa jana nafika home kama kawaida Nikamkuta anaangalia Tamthilia Kumwambia Abandike maji ya kuoga akajibu Staki kumuulza kwann Anasema ningemtaarif kabla sjafika home.

Nikachomoa mkanda nikamchalaz kweli kweli af nikaandaa maji ya kuoga kama kawaida nikaenda kukoga nikalala asubuh Kadai anataka kwenda kwao Nimempa naul apande Gar coz Treni ad Jnne Nimemwambia funguo aiache kwa mwenye nyumba mimi huyooo kazini.

Sasa ushauri wenu Mwenzi ujao Naplan ya kupeleka mahari kwao kama tarh 16 or 18 Vp huyu mwanamke anafaa kuolewa au nipige chini japokua nimemtolea barua na kwao najulikana vizur tu. kuhusu kuchepuka mimi sina hizo mambo Sidingi seem nyingne yoyotee...

......Mwisho......
 
Kama maada inavyojieleza hapo juu, Nahisi wife anamegwa nje coz kuna mambo anayafanya humu ndani nahisi ipo hivyo.

Picha linaanza imefika stage kawa na kiburi nikimwambia kitu anaweza kukujibu staki ikiwa ni moja ya majukumu yake humu ndani so nashindwa kuelewa nini kinasababisha hadi awe hivi.

Kama jana nimefika home kama kawaida nimemkuta anaangalia tamthilia (Chizi Mapenzi, Star Swahili) nikamwambia anichemshie maji ya kuoga coz mimi ni muumini wa maji ya moto kutokana na hii kazi nnayoifanya mara nyingi nikirud Huwa nahis baridi sana na kulala bila kuoga siwezi, tuendelee na kibao.

Kumwambia anichemshie akakataa katukatu nikajiuliza huyu ana nini mbona yupo hivi ikiwa mchana aliniomba pesa kuna mazaga yake akanunue nilimpatia bila ubishi.

Mwanaume nikatoa sufuria nikawasha gesi nikainjika maji yalivyochemka nikaweka kwenye ndoo ili nikaoge cha ajabu ile namalzia kuoga huyuuu na yeye akataka kuoga sikumkatalia akaoga tukaingia ndani kula na msos ukalika bila tatzo.

>>> Inaendelea hapa
Mwanamke anakuwa na kiburi kama humpigi chuma sawasawa na wakati mwingine usipomfikisha kilele cha Kibo qnakuwa na hasira za ajabu ajabu.
Anza kumshugjulikia ipasavyo kwenye 6 kwa 6 utapna mabadiliko makubwa na utakuja kunishukuru
 
Hapo hujamuingiza ndani rasmi anakunyima,akiingia ndani rasmi kitakachofuata ni kuchomana moto.

Jombaa suala la mapenzi ni lako na mwenza wako.utashauriwa hapa lakini ukija ndani mawazo yanarudi kwako.
Za kuambiwa changanya na zako.

Ukijua hitaji lako la kuoa ni nini basi jibu utalipata kama huyo mwanamke anakufaa au hakufai.

Mfano mimi hitaji langu la kuoa ni kwamba nipate u.chi kwa muda muafaka.sasa nikiwekewa vikwazo na kunyimwa maana yake ni kwamba ndoa hiyo hainifai.mkuu jitafute
Hitaji lake ni maji ya moto ya kuoga na hachemshiwi....hahaaaaa wonders shall never end.
 
Back
Top Bottom