kigole
Member
- Jul 2, 2019
- 36
- 17
Mwambie tu ukweli kuwa haupo tayari juu ya akitakacho tena msisitize kuwa hautaki mazoea na yeye tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni muhaKaombe msaada kanisani/msikitini waje wakuombee.Ila hujasema anatoka mkoa gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhAchana nae huyo kenge tu "kuna bibi mmoja maika ya nyuma alikuja kwa bi mkubwa akamwambia kauli kama hizo, sasa bi mkubwa akasoma mchezo akamwambia usiniletee mambo yako hapa, baada ya wiki mbili yule mama mganga alikufa, tukahisi yalikuwa yanamshinda akatafuta sehemu ayaweke yatuangamize
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawai pata tatizo lolote la kiuchawi au hata ugonjwa mkubwa ndio nashangaa jamaa alionaje nyumba ni nzito?Kwan eww kwako kuna changamoto yoyote unapataa au kuna matatizo yoyote unapataa au wife kupataa ata hvyo kam yapo usikimbilie kwa waganga
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo sio rafiki mwemaYani mpaka sasa nafanya kazi ya kumkwepa ila jamaa kila mda ananipigia simu aje!
Nahisi kifuatacho ataanza ziara za kushtukiza kwangu