momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,930
- 1,955
Yani mpaka sasa nafanya kazi ya kumkwepa ila jamaa kila mda ananipigia simu aje!
Nahisi kifuatacho ataanza ziara za kushtukiza kwangu
Upole huwagharimu wengi.
Mimi siwezi kumkubalia hakika
Hahaha!Ukianza hayo mambo utakua mtumwa maisha yako yote, usijaribu mambo ya ushirikina au kupenda dini sana.
Kaombe msaada kanisani/msikitini waje wakuombee.Ila hujasema anatoka mkoa gani?
Sent using Jamii Forums mobile app