Toosweet
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 2,141
- 1,982
Kwenu,
Mh. Nape, mbunge wa Mtama ametoa nahau inayofikirisha watu wengi, hasa viongozi,mara baada ya kujiuzulu uenyekiti kwenye kamati nyeti ya Maiasili na Utalii.
Nahau ni hii, "Nyani waliposikia aliyekuwa akiwafukuza wasile mahindi amekufa, walishangilia Sana. Mwaka uliofuata walipata njaa kali maana hakukuwa na mahindi. Ndipo walipogundua kuwa mtu aliyekufa alikuwa mkulima.
Nani ni nyani? Nani Mkulima? Mahindi ni nini?
TS.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh. Nape, mbunge wa Mtama ametoa nahau inayofikirisha watu wengi, hasa viongozi,mara baada ya kujiuzulu uenyekiti kwenye kamati nyeti ya Maiasili na Utalii.
Nahau ni hii, "Nyani waliposikia aliyekuwa akiwafukuza wasile mahindi amekufa, walishangilia Sana. Mwaka uliofuata walipata njaa kali maana hakukuwa na mahindi. Ndipo walipogundua kuwa mtu aliyekufa alikuwa mkulima.
Nani ni nyani? Nani Mkulima? Mahindi ni nini?
TS.
Sent using Jamii Forums mobile app