Nahau za Nape: Mkulima, nyani na mahindi

Nahau za Nape: Mkulima, nyani na mahindi

uwaziri syndrome
tangu ile siku anatumbuliwa hajawahi kuwa sawa..na itamchukua muda mrefu kuwa sawa
who knew that shit would have became his worst nightmare,,,
 
Nape
Screenshot_2019-02-10-20-24-18.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkulima alikuwa na faida gani kwa nyani kama mahindi yake walikuwa wanafukuzwa wasile?

Nape amechemka.
Mkuu kwa changio hili wewe kichwani ni empty kabisa... ina maana hujaelewa hapo kuwa ADUI YAKO ANAWEZA KUWA NDIYE ANAYEKUSAIDIA KUFANIKIWA KWAKO??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkulima alikuwa na faida gani kwa nyani kama mahindi yake walikuwa wanafukuzwa wasile?

Nape amechemka.
Kweli akili yako ndogo, na haujawahi kuhamia shamba la mahindi. Mkulima analima heka tatu, nyani lazima wale, anachofanya ni kuwafukuza wasile shamba zima. Akili yako ndogo huwezi kuelewa kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda nyani ni wanachama wa chama chake,yeye ni mkulima siku akifa chama chake kitashangilia sana,lakini kitapata tabu sana kwani mahindi/kura alizokuwa analima mkulima hazitakuwepo.
Kwa namna nyingine anajitabiria kifo chake kisiasa katika chama chake na kukitaadhalisha chama chake kijipange siku zijazo.
Kiuhalisia nahau hii inaweza kuwa ni kejeli kama itatafsiliwa vibaya na angalizo kama itatafsiliwa kwa upana,lakini pia ni nahau ya kutafuta uelekeo/kupima upepo wa siasa za siku zijazo.
 
Nyani ni serikali mkulima ni wapinzani ambao nyani anatamani wasiwepo halafu mahindi ni misaada kumbe pengine serikali inasahau kuwa misaada inayopata inayosaidia kwny bajet zinatokana na kwamba kuna vyama vingi ishara ya demokrasia sasa siku wakiua upinzani hiyo misaada wanayopata japo kidogo hawatapata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom