Iringa Native
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 961
- 3,057
Japo walifukuzwa haimaamishi hawakula kabisa...kufukuza mnyama au ndege haimaanishi kuwazuia 100% ila kupunguza athari yao katika mazao/mavunoMkulima alikuwa na faida gani kwa nyani kama mahindi yake walikuwa wanafukuzwa wasile?
Nape amechemka.
Nape hajachemka kwa kiasi ulichozani.
Sent using Jamii Forums mobile app