hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 5,527
- 12,162
kumbe haitakiwi😅😅Kosa lenu ni kuajiriwa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
mbona hii ni kama story unatupanga.!!Mimi nilianza hivi, niliongea na rafiki yangu akanipigia hesabu ya
Matofali
Mawe
Mchanga
Cement
Nondo
Ufundi.
Kiwanja nilikuwa nacho.
Kila mwezi nilikuwa nanunua kimoja nakamikisha.
Baada ya miezi 18 nikaita mafundi nikajenga boma nikapaua nikaweka grill madirishani na milango ya nje nikamwambia wife tuhamie. Ikikuwa 1999.
Wife akasema hakai kwenye pagale akaenda kupanga master safi town akakaa mie nikazama kwenye pagale.
Uchungu niliokuwa nao hela yoyote niliyoipata kila siku nilinunua chochote, hata kilo ya misumari sikuacha kisa sina hela.
Nikapiga ndani ya miezi 11 na geti la ku slide.
Hizo ni pamoja na hasira za kuachwa kisa pagale nilikonda kwa njaa na mawazo.
Eti alituma wazazi waje watupatanishe wakati nikijua alipata mimba ikaharibika sijui alitoa.

Kwani humu haturuhusiwi kupiga story? Anza ujenzi kama bado hujaaanza.mbona hii ni kama story unatupanga.!!![]()
nipo kwenye harakati za kuanza, nime save 12m, naendelea ku save mpg mwakani nitakua nipo kwenye 20+mKwani humu haturuhusiwi kupiga story? Anza ujenzi kama bado hujaaanza.
DuhMimi nilianza hivi, niliongea na rafiki yangu akanipigia hesabu ya
Matofali
Mawe
Mchanga
Cement
Nondo
Ufundi.
Kiwanja nilikuwa nacho.
Kila mwezi nilikuwa nanunua kimoja nakamikisha.
Baada ya miezi 18 nikaita mafundi nikajenga boma nikapaua nikaweka grill madirishani na milango ya nje nikamwambia wife tuhamie. Ikikuwa 1999.
Wife akasema hakai kwenye pagale akaenda kupanga master safi town akakaa mie nikazama kwenye pagale.
Uchungu niliokuwa nao hela yoyote niliyoipata kila siku nilinunua chochote, hata kilo ya misumari sikuacha kisa sina hela.
Nikapiga ndani ya miezi 11 na geti la ku slide.
Hizo ni pamoja na hasira za kuachwa kisa pagale nilikonda kwa njaa na mawazo.
Eti alituma wazazi waje watupatanishe wakati nikijua alipata mimba ikaharibika sijui alitoa.
Usi save hela inapungua thamani.nipo kwenye harakati za kuanza, nime save 12m, naendelea ku save mpg mwakani nitakua nipo kwenye 20+m
Kwa lak 5 tano inaweza fanya kazi kwenye hatua za awali, vipi kwenye kuezeka ?Ukiweza kusave laki 5 Kila mwezi, una uwezo WA kujenga bila stress wala mikopo
sina sehem ya kuweka hayo materials na naamini badda ya mwaka mmoja bei haitakua juu kiasi cha kupata deficit kubwa, hapo kwenye kufyatua matofari mbona kama changamoto, kwa hii dar kuna watu kwani bado wanafyatua wenyewe mtofari badala ya kunua yaliyo tayari, au ili upate tofari quality inabidi ufyatue mwenyewe.Usi save hela inapungua thamani.
Nunua materials na kama kiwanja unacho endelea na ujenzi, bei ya cement, nondo n.k. ya leo haitafanana na ya mwakani. So unaweza nunua cement then ukafyatua tofali zako, ukajenga msingi n.k. mpaka utamaliza, so kila ukipata pesa peleka kwenye ujenzi.
Mimi nilifanya hivyo mpaka nikamaliza, hizi mambo za ku save BINAFSI nilikataa,
Don't save money while u have pending demands. Huko ni ku pause matatizo yako tu, na mwisho wa siku itakubidi uyatatue tena kwa gharama kubwa.
Ni sawa na mtu anayezima data akidhani amesave kumbe akija kuwasha ina consume mb zile zile, maana kama ni notifications zitakuja zote,
Huyo ni mama yangu mdogo kabisa sema alikosea kukuacha Mzee wetuMimi nilianza hivi, niliongea na rafiki yangu akanipigia hesabu ya
Matofali
Mawe
Mchanga
Cement
Nondo
Ufundi.
Kiwanja nilikuwa nacho.
Kila mwezi nilikuwa nanunua kimoja nakamikisha.
Baada ya miezi 18 nikaita mafundi nikajenga boma nikapaua nikaweka grill madirishani na milango ya nje nikamwambia wife tuhamie. Ikikuwa 1999.
Wife akasema hakai kwenye pagale akaenda kupanga master safi town akakaa mie nikazama kwenye pagale.
Uchungu niliokuwa nao hela yoyote niliyoipata kila siku nilinunua chochote, hata kilo ya misumari sikuacha kisa sina hela.
Nikapiga ndani ya miezi 11 na geti la ku slide.
Hizo ni pamoja na hasira za kuachwa kisa pagale nilikonda kwa njaa na mawazo.
Eti alituma wazazi waje watupatanishe wakati nikijua alipata mimba ikaharibika sijui alitoa.