Gwataimbwa
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 342
- 123
Nguruwe tope wewe
Nafurahishwa na kisirani chakoNguruwe tope wewe
Ili Unabii Utimie. Soma Luka 1:37Sasa kama ni Mungu, anauliwaje na binadamu ambao yeye ni watu wake aliowaumba.
Bible ina vitabu 66 kipi kinasema kweli??Ili Unabii Utimie. Soma Luka 1:37
Ni mtazamo wako sipingani nawe ila mimi nimeaminishwa hivyo kwani sikuwepo kipindi hicho nimeyakuta hayoMusa mshenz sana yule, ujinga ngano za kiyahudi, never existed, hakuwepo ni uwongo
Ni vizuri ukibaki na unachokiamini kuliko kutmia maneno yasiyo pendeza machoni pa wengine mkuuHamna kitu,. Usenge ule
Unajuaje kwamba hayo yalitokea kweli na si story tu?Historia inaonyesha kuwa mungu alikuwa anazungumza na wanadamu moja kwa moja na kuwapa maagizo musa aliitwa na mungu kwenda kupokea amri za mungu huko mlima sinai na alipo lejea alikuwa na vipande vya mawe (mbao) vilivyo kuwa na maandishi kwa hiyo vitabu vitakatifu viliandikwa na mungu
Musa mshenz sana yule, ujinga ngano za kiyahudi, never existed, hakuwepo ni uwongo
Mungu anaona kila mahali! Mungu anaweza Yote!Bible ina vitabu 66 kipi kinasema kweli??
Kama kila mtu atabeba mzigo wake iweje Yesu a.k.a Mungu afe na mizigo ya watu ambao hajawahi waona?
Acha hasiraMbwa nyie Jamii forum, tutashinda
Mungu yupi unamaanisha hapo maan accrdng to christianityMungu anaona kila mahali! Mungu anaweza Yote!
Maandiko yote ni Kweli.
Wapi nilipoeleza imani yangu na nini na naabudu nini humu?Ndio wewe mwenye kuabudu wayahudi unijibu Hilo, kwani wachina Wahindi na mimi ni kitu kimoja
hii kakufundisha nani mkuu? au ile taaluma yako ya saa habari humu tunakuita kauga, mkeo anakuita bwana, wanao wanakuita baba, jee sio wewe Wakristo wanampwekesha Mungu kihivyo kama unabishia tuwekee humu ayat moja tu toka Biblia Takatifu inayo sema Wakristo wana Mungu watatuMungu yupi unamaanisha hapo maan accrdng to christianity
Mungu mwana, Mungu roho na mtakatifu
Sasa nani anafanya maamuzi hapo?
1 mwana
2 roho
3 mtakatifu.
hahaaauwanja unatosha kabisa, labda useme akili haitoshi.
Mkuu acha ujuaji wa kengeBiblia neno LA kigiriki biblos aka vitabu, sasa hivyo tu ndio nini? Kitabu cha wayahudi kinaitwa Talmudic, hawamuamini yesu kamwe.....nyie mmeribwa na nini?