Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,924
- 6,010
Ndugu Fabian, Muumba wetu hafikirii kama tunavyofikiri sisi binadamu.Yes, Kwanini Mungu atuumbe na kutuweka mitiani ambayo anajua kabisa kuna wengi wetu itatushinda, Je alikuwa hawez kuumba Dunia ambayo tuko free kuish na kumsifu tu yeye?
Yes, Kwanini Mungu atuumbe na kutuweka mitiani ambayo anajua kabisa kuna wengi wetu itatushinda, Je alikuwa hawez kuumba Dunia ambayo tuko free kuish na kumsifu tu yeye?
Ndugu Fabian, Muumba wetu hafikirii kama tunavyofikiri sisi binadamu.
Kwanza uwezo wetu wa kufiri uko limited (1 Wakorinto 13:9); pili kutaka kumjua Muumba kwa kutumia akili zetu ni upuuzi na ujinga.