Nafikaje udsm(main campus)

Jamani Dar siyo nyepesi hivyo, na huo mzunguko wa afike Ubungo, aende mpaka Kivukoni, avuke kwenda Kigamboni, Tuangoma, halafu arudi UDSM, siyo jambo dogo kabisa.

Nina uhakika atachemsha, na si ajabu akapigwa pale Ubungo hiyo usiku.

Mkuu Usimtishe Bhana! 😀😀😀
Si Ubungo Mwendo Kasi ipo palepale Moja kwa Moja Mpaka Ferri. 😀😀😀
 
Anaenda kusalimia mwalimu mkuu wa chuo

Atoe maelezo mazuri anaweza kusaidiwa, kama unaenda kujoin chuo kunakuwa mzunguko ile wiki ya kwanza, hustle za Tuangoma mpaka UDSM kwa mgeni hili jiji ni changamoto.

Otherwise kuwe na mtu wa kumpokea ampeleke Tuangoma then UDSM, walau mara moja tu.
 

Kwa Ninvyoijua Kariakoo Basi Unataka Kwenda Kumuibisha
 
Aisee mkuu umeua hatari aisee,kweli Watz ni wakalimu sana sema vyama vya siasa vinatuvuruga aisee!! Hongera!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Usimtishe Bhana! 😀😀😀
Si Ubungo Mwendo Kasi ipo palepale Moja kwa Moja Mpaka Ferri. 😀😀😀

Siku hizi tochi barabarani hazina guarantee, anaweza akafika saa tano na nusu na mwendo kasi haifanyi kazi.

Hata akifika mapema, logistics za mwendo kasi ni lazima aulize kwa mtu, Ubungo unamuliza nani?

Maana pale kuna wazee wa fursa (wanaosubiri watu kutoka mikoani wawalize).

Aisee pale ni pabaya sana kwa mgeni.
 
Nakushauri tu huyo mwenyeji wako mwambie kuwa we we dar ndio mwanzo unafika akupereke hadi chuo.

Vinginevyo utapigwa mapema tu ukifika
 
Mkuu Usimtishe Bhana! 😀😀😀
Si Ubungo Mwendo Kasi ipo palepale Moja kwa Moja Mpaka Ferri. 😀😀😀
Kop kwa Dar ilivyo tena Ubungo mida hiyo gari inafika na saivi vyuma vilivyokaza na mtu ndio first time anafika, possibility ya kupigwa ni kubwa sana.

Mimi namshauri mleta uzi ajitahidi kuongea na mwenyeji wake ili amuombe awepo Ubungo muda basi litakapofika. Yani akishuka tu anakutana na mwenyeji wake wanaondoka. La sivyo hali inaweza kuwa tete.

Kesho yake ndio huyo mwenyeji wake ampeleke UDSM ana kumzungusha zungusha maeneo muhimu ya jiji. Baada ya hapo anaweza kuanza kufanya mambo mengine mwenyewe.
 

Hicho ndo nilichoshauri pia, ubaya kwa mishe za mji huu kupata mtu wa hivyo ni ngumu.

Labda awe linked na madogo wengine wanaoenda kuanza chuo.
 
Hicho ndo nilichoshauri pia, ubaya kwa mishe za mji huu kupata mtu wa hivyo ni ngumu.

Labda awe linked na madogo wengine wanaoenda kuanza chuo.
Yeah ni kweli, ila ushauri ni muhimu hapa jamaa achague upi unamfaa. Maana naamini mtu anatokea Tunduma ni mjanja mjanja sio waki kwasababu miji iliyopo boda watu wanakuwa wajafanja kiaina.

Chamuhimu pia kama kuna uwezekano asijibebeshe mizigo mingi isiyokuwa ya lazima.
 
Khaaaa toangoma palefu nahisi iyo ipo kongwe mbagara sasa unapanda gar toka kongowe mpka mbagara then mbagara panda za mbgara makumbusho shuka makumbusho chukua za makumbusho mbenzi au gongoramboto shuka magufuli hostel
Mpaka hapo kishapotea!!!. Hahaahhaaaaa mi nadhan mwwnyej wake ampe kampani tu
 

Huo Ujanja Wake Wote Wa Tunduma Hawezi Kuufanya Dar tena Hata Kule Tegeta Hawezi Kuufanya achiliambali Ubungo.

Tena Kibaya Zaidi Ole Wake Akifika Ubungo Aibiwe Simu! Hapo Nakuhakikishia Ataondoka na Boxer tu pamoja na Korodani Zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…