SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,079
- 7,976
Kama title inavyosema Umoja wa mataifa (UN) watangaza nafasi mbali mbali za kazi katika ukanda wa Gaza.
Hii sio mara ya kwanza kwa U kutangaza nafasi hizo katika tovuti yao.
nimeona niilete hapa ili wale majobless wanaolalamika hakuna ajira maisha magumu bongo wachangamkie fursa.
Ila msije sema hamna taarifa ya kuwa mpaka sasa watumishi kumi na moja wa UN katika ukanda huo wameshapoteza maisha tangu Jumamosi iliyopita(UN says at least 11 of its workers has been killed since Saturday -BBC).
How to apply: https://unjobs.org/duty_stations/gza
Hii sio mara ya kwanza kwa U kutangaza nafasi hizo katika tovuti yao.
nimeona niilete hapa ili wale majobless wanaolalamika hakuna ajira maisha magumu bongo wachangamkie fursa.
Ila msije sema hamna taarifa ya kuwa mpaka sasa watumishi kumi na moja wa UN katika ukanda huo wameshapoteza maisha tangu Jumamosi iliyopita(UN says at least 11 of its workers has been killed since Saturday -BBC).
How to apply: https://unjobs.org/duty_stations/gza