Nafasi za masomo... TRAINING!

Nafasi za masomo... TRAINING!

Baby Nimah

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
758
Reaction score
907
, SUMBAWANGA WIZARD TRAINING COLLEGE, P.O.BOX 27, RUKWA.
02/02/2019
Ni chuo bora kwa mwaka 2019 kina mazingira mazuri ya kujifunzia, kuna vifaa vingi vya kumwezesha mwanafunzi ajifunze kwa vitendo.chuo kinatoa kozi zifuatazo
1.KUWANGA(mwaka1)
2.KURUSHA UNGO(miezi7)
3.KUTUNZA MISUKULE.miez5
4.KUROGA Mwaka1 Vile vile Chuo Kimetoa Mchawi Bora Kimkoa ambae Ni Huyu Anaesoma sms hii, Mlete Ndugu Yako Kwan Nafasi ni Chache. Ukipata taarifa hii mtarifu na mwingine
Imetolewa na MKUU WA SHULE mashana JR
 
Aisee Mamiloo achana kwanza na izo ndumba tuongee mbanga serious,Iyo avatar ako apo fiade Mimi hoi ila ndoivo sijui kukufata PM(Prince Mikazo)Acha nipite ivi na 70 zangu
 
Aisee Mamiloo achana kwanza na izo ndumba tuongee mbanga serious,Iyo avatar ako apo fiade Mimi hoi ila ndoivo sijui kukufata PM(Prince Mikazo)Acha nipite ivi na 70 zangu

🤗🤗🤗🤗
 
, SUMBAWANGA WIZARD TRAINING COLLEGE, P.O.BOX 27, RUKWA.
02/02/2019
Ni chuo bora kwa mwaka 2019 kina mazingira mazuri ya kujifunzia, kuna vifaa vingi vya kumwezesha mwanafunzi ajifunze kwa vitendo.chuo kinatoa kozi zifuatazo
1.KUWANGA(mwaka1)
2.KURUSHA UNGO(miezi7)
3.KUTUNZA MISUKULE.miez5
4.KUROGA Mwaka1 Vile vile Chuo Kimetoa Mchawi Bora Kimkoa ambae Ni Huyu Anaesoma sms hii, Mlete Ndugu Yako Kwan Nafasi ni Chache. Ukipata taarifa hii mtarifu na mwingine
Imetolewa na MKUU WA SHULE mashana JR


Jr
 
Back
Top Bottom