Kuelekea Mbio za ubunge jimbo la Isimani

Kuelekea Mbio za ubunge jimbo la Isimani

Joined
May 2, 2026
Posts
59
Reaction score
52
KUELEKEA UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM JIMBO LA ISMANI TAR 11/5/2026

Umoja wa Vijana chama cha Mapinduzi wilaya ya Iringa Vijijini (UVCCM) utakutana kwa ajili ya Jogging na vijana ndani ya tarafa ya Pawaga, Kata ya Itunundu jumamosi tarehe 9/5/2026.

Mgeni Rasmi
Ndugu Anord Mvamba
Katibu Siasa, Uenezi Na Mafunzo CCM Wilaya Iringa Vijijini

Sisi wana-Ismani
Tutamchagua Emmanuela Mtafikolo
kwa Maendeleo Ya Jimbo la ISMANI

#IsmaniNaMaendeleo
#KaziNaUtuTunasongaMbele
 
Kwahiyo mkijihesabu mnaona mnafikisha hizo asilimia?
Safiiii sana.. Umejua kunifurahiaha leo kwa maswali mazuri mkuu. Nimetambua kwanini kijiji cha isimani na majirani zao wanamaisha magumu sana. Sababu ni kwamba hawana akili kabisaaaaaaa
 
Safiiii sana.. Umejua kunifurahiaha leo kwa maswali mazuri mkuu. Nimetambua kwanini kijiji cha isimani na majirani zao wanamaisha magumu sana. Sababu ni kwamba hawana akili kabisaaaaaaa
Nimejiuliza uzi ukianzishwa tu wanaibukia wapi! Imebidi nifukunyue ujuzi! Nataka kujua kwanini haki yao ya kikatiba watuhusishe na tusiohusika kwenye hilo jambo lao!
 
Nimejiuliza uzi ukianzishwa tu wanaibukia wapi! Imebidi nifukunyue ujuzi! Nataka kujua kwanini haki yao ya kikatiba watuhusishe na tusiohusika kwenye hilo jambo lao!
Tena nahisi hiyo haki yao ya kikatiba ni katiba ya chama chao. Maana sisi wengine hatupati
 
Back
Top Bottom