Nafasi za kazii kwa walio soma TEACHING....

Nafasi za kazii kwa walio soma TEACHING....

Mkuu hapo nilichanganya mark ya chemistry na physics
lakini huo mwaka mmoja(2016) ndo nilikuwa katika hyo school ya seminary napga ktabu na mwaka huu nlkuwa dsm bt now niliomba uhamisho tcu nkaenda "Mbeya" kupga ktabu. So now cpo tena dsm kwa sababu hyo
Mkuu huaminiki Kwa maneno yako
 
Duuh sitaki kuanza kulumbana ktk maswala haya yasiyo na msingi ,kuongea na Kuwatetea hawa jamaa kwanza SIPEWI CHOCHOTE wala PESAna sio ndugu zangu bt nliwajua katika mishe mishe zangu za kutafuta kikazi cha kupiga baada ya kuprospond chuo 1 year..

Tufanye asilimia 85% hawa ni matapeli kwa mnavyosema, 15% labda inaweza kuwa kweli wachache wanapata.
 
Duuh sitaki kuanza kulumbana ktk maswala haya yasiyo na msingi ,kuongea na Kuwatetea hawa jamaa kwanza SIPEWI CHOCHOTE wala PESAna sio ndugu zangu bt nliwajua katika mishe mishe zangu za kutafuta kikazi cha kupiga baada ya kuprospond chuo 1 year..

Tufanye asilimia 85% hawa ni matapeli kwa mnavyosema, 15% labda inaweza kuwa kweli wachache wanapata.
kama ww ni mwanafunzi wa chuo basi kazi ipo
 
kama ww ni mwanafunzi wa chuo basi kazi ipo
Mkuu najua shida yangu ipo hapo ndo maana katika masomo yangu nilifaulu yote kasoro English/Language nilifeli nilipata Grade "C".

Ndo maana nikaamua niliache advance level
 
Duuh sitaki kuanza kulumbana ktk maswala haya yasiyo na msingi ,kuongea na Kuwatetea hawa jamaa kwanza SIPEWI CHOCHOTE wala PESAna sio ndugu zangu bt nliwajua katika mishe mishe zangu za kutafuta kikazi cha kupiga baada ya kuprospond chuo 1 year..

Tufanye asilimia 85% hawa ni matapeli kwa mnavyosema, 15% labda inaweza kuwa kweli wachache wanapata.
Kuprospond ndo nn mkuu
 
Usithubutuu wale wanakutapeli wakiwa na sura ya kijasiri kabisa, nawajua vemaaa
Najua wanaona comments zangu waje wakanushe kama nasema uongo.

Simuonei mtu na sitamuonea wala sitasema uongo ili kuwapotosha wanajamii forums.

Ntasema ukweli daima ili kuisaidia jamii
Mkuu mi nmeshawai kufika kwa hawa jamaa sema wengi wa walimu wanaofika pale ni Arts/ walimu wa sanaa primary au secondary na hata kuwaita wote ktk interview naonaga inakuwaga shida..
Mimi nlkuwa npo chuo mwaka fulani nikaacha mwaka mzima sikwenda, then nikaenda kwa hawa jamaa 2016 jan wanitafutie sxul ya kupiga mwaka mzima na mm sio mwalimu by professional bt walinitafutia school mbilo dsm na Kilimanjaro nikafanikisha ya kilimanjaro lakini kwa Masomo ya Science (Physcics na Chemistry) nkawa nachukua mshahara fresh tu na hapo nlkiwa cjamalza chuo now nmerudi chuo napga ktabu fresh na mafao yangu Nssf na Mshahara wangu na mkopo wa Heslb fresh
Tatizo pale walimu wa Arts (secondary na primary) ndo utasumbuka kimtindo lakn kama ni sayansi ni wachache sana hata wanaoenda kufanya interview ni wachache sana...
Lakini kama mtu anaona anaenda kutapeliwa aache kabisa kwenda kuliko kuwa na mashaka na unapoenda ukaona unaliwa pesa yako hiyo na siku hizi registration pale ni 20000/=
hao ni matapeli tu acha kutetea tapeli wewe
 
Yaani ni kama karata tatu!!unatoa elfu ishirini..shuleni mnapelekwa watu kumi..ukipata bahati yako!!!!Hapo waweza usiitww tena mpka.miezi miwili..Kama mdada mpka umrambe rambe huyo kaka sijui Nchama..na kutongozwa juu kama haujatoa hela yako!!!


Nb wapo wanaopata akili za kuambiwa changanya na zako!!
 
Hawa jamaa ukiwapigia simu Wanasema kujiunga Ada ni TSh20000 Nafikil umakini mkubwa unahitajika katika hili
 
Naomba wote mnaosoma uzi huu wapuuzeni sana hawa teachers junction ni matapeli.sana wanakula tu hela za wadogo zetu, kuna virisiti wanatoa.havina hata maana miezi inakata tuu wanaishi kwa ujanja ujanja sana sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom