Nafasi za kazii kwa walio soma TEACHING....

Ukweli ni kwamba kuna watu pale wanafanikisha na wengine hawafanikishi kutokana na sababu kama ambazo nimezisema hapo
 
Wale watu matapeli, jamaa yangu ni mwalimu wa masomo ya sayansi alimaliza UDSM, na kuna watu kibao aliongozana nao pale lakini hakuna aliyepata.
Wewe unakuja na ushahidi wa kutetea teachers junction ili iweje?
Hivi inawezekanaje mtu ambaye hana taaluma ya ualimu wala hajawahi kusoma ualimu aanze kusaili walimu?

Namshauri Nchama atafute kazi nyingine ujanja ujanja ushafika kikomo
 
Angalia hii id ni ya tangia lini mkuu...mimk sio kwamba natetea bali nmesema yale niliyokutana nayo pale dats why nmesema hvyo...
Shule nyingi za private wanaofundisha wengi sio by professional.
Kwa mfano mimi interview yangu nilifanya na professional wawili wa hayo masomo kabisa lakini katika interview mimi nikapita na wale wengine wakaachwa ni kwa sababu wanaangalia..
1) marks zako za olevel
-mimi olevel physics nlkuwa na "B" na Chemistry nlkuwa na "A" tofauti na wale wengne
2) marks zako za advance.
-mimi nlkuwa na Physics "D" na Chemistry "C" tofauti na wale professional
3) presentation yako ubaoni unavyoconvince wanafunzi wao
4) Maswali unayoulinzwa na walimu/wanafunzi/manager unayaweza au vipi
-watu waliambiwa state newtons lawa of motion na laws of electromagnetism na law of radioactivity wakashindwa lakini mtu ambaye anaexperience anapewa nafasi kama professional ameshindwa kujibu sawa...

Hivi vitu ndo niliviweza kipindi cha interview kilimanjaro dats why na walimu niliokutana nao huko private ni non-professional na wengi wa professional wanapewaga mkataba mfupi kwa sababu za kwenda government
 
Taasisi inayochukua professional teachers ni government pekeyake bt private ni interview kati ya professional na non-professional...
 
Taasisi inayochukua professional teachers ni government pekeyake bt private ni interview kati ya professional na non-professional...
Sasa kama katika watu 20 mnaajiriwa wawili kupitia teachers junction huoni watu 18 wametapeliwa, wanachofanya ni kua na kashule kamoja alafu wanaitisha watu lukuki ili kupata pesa tena wakati mwingine hawana hata shule.
Alafu teachers junction wanafanya udalali ili iweje nani asiyejua mtandao saivi? Shule zitangaze mitandaoni watu waende direct bila kupitia kwa hawa matapeli
 
Mkuu nmekuelewa kabsa ulichosema hapo juu..
Kuna watu wamefanikisha na wengine wamezinguliwa

Lakini wale waliofankisha ni WAOGA kujitokeza hapa na wale wanaotaka kujaribu ni WAOGA pia kutest na kuuliza pia
 
Mkuu mi nmeshawai kufika kwa hawa jamaa sema wengi wa walimu wanaofika pale ni Arts/ walimu wa sanaa primary au secondary na hata kuwaita wote ktk interview naonaga inakuwaga shida..
Mimi nlkuwa npo chuo mwaka fulani nikaacha mwaka mzima sikwenda, then nikaenda kwa hawa jamaa 2016 jan wanitafutie sxul ya kupiga mwaka mzima na mm sio mwalimu by professional bt walinitafutia school mbilo dsm na Kilimanjaro nikafanikisha ya kilimanjaro lakini kwa Masomo ya Science (Physcics na Chemistry) nkawa nachukua mshahara fresh tu na hapo nlkiwa cjamalza chuo now nmerudi chuo napga ktabu fresh na mafao yangu Nssf na Mshahara wangu na mkopo wa Heslb fresh
Uko chuo Gan mkuu
 
duh kama interview vile..

Kama umeptia university lazima utakuwa unajuana hiki chuo wanatoa course zip...
 
Hii tabia ya kufoward kila text unayopata huko kwenye group lenu la O Level Igwambiti ni ya kigreat sinker kabisa
 
Angalia hii id ni ya tangia lini mkuu...mimk sio kwamba natetea bali nmesema yale niliyokutana nayo pale dats why nmesema hvyo...
Shule nyingi za private wanaofundisha wengi sio by professional.
Kwa mfano mimi interview yangu nilifanya na professional wawili wa hayo masomo kabisa lakini katika interview mimi nikapita na wale wengine wakaachwa ni kwa sababu wanaangalia..
1) marks zako za olevel
-mimi olevel physics nlkuwa na "B" na Chemistry nlkuwa na "A" tofauti na wale wengne
2) marks zako za advance.
-mimi nlkuwa na Physics "D" na Chemistry "C" tofauti na wale professional
3)
Unapokuwa muongo unatakiwa uwe na kumbukumbu na ww sio Mara ya kwanza kukuona ukiulizia mambo ya kufundisha.
Hii ni post yako ya tarehe uliypost mwishoni mwa mwaka 2016.
mm ni mwanafunzi wa chuo natafuta shule (O'level) ya kufundisha masomo ya physics Na mathematics pamoja na Physics Practicals

Nina uzoefu wa kufundisha physics (F1-F4) na mathematics (F1-F2) kwa mwaka mmoja (Jan-Nov 2016) kwenye private School (seminary) kutokana na kushindwa kwenda chuo mwaka uliopita na sasa nmerudi tena chuo kuendelea.



Nahitaji kufundisha private schools hususani ktk wilaya ya Kinondoni, Ubungo na Kibaha. Nina ufaulu mzuri ktk masomo yote. (O'level)

Mathematics-A.

Physics-A

Chemistry-B.

Npo tayari kutuma CV yangu.

Natanguliza shukrani

PM or 0785785327.
 
Tanzania imefikia kubaya watu wanasumbua watanzania wenzao ili kupata pesa, Wale hawana lolote
Mbinu yao wanatangaza mshahara mnono ili mtu akiona anatoka mbio mbio kwenda kwao kumbe hamna kitu wala hizo shule hazipooo

Nchama noma sana yule jamaa, hajawahi kua mwalimu wala kusoma ualimu lakini anaendesha usaili wa walimu--- Only in Tanzania hii

Kiofisi chao kidogo kama frem ya duka, kuna meza mbili, meza moja ina picha ya mtoto wa Nchama wa kiume, kuna mashine kubwa ya photocopy, kuna sofa moja, mbele ya ofisi kuna basi bovu limepaki, mbele (kushoto) kuna kituo cha Polisi Magomeni.

Ukifika pale wanazuga kukusajili, unalipa ada, wanakwambia toa copies za vyeti unatoa kwenye mashine yao (unalipia), wanakwambia tutakupigia simu shule zikiwa tayari hapo wanakupotezea, ukikaa ukiwapigia wanakwambia njoo kesho ukienda wanakuzuga bhana umechelewa wenzako wameenda kwenye usaili njoo wiki ijayo, ukienda wanakwambia ile shule imeghairi kusaili watu subiri kuna shule iko Pwani, kibaha sijui Dar inahitaji mwalimu tunafanya mchakato uende wewe.
Yaani watakuzungusha mpaka utaacha mwenyewe

Nashukuru jamaa yangu alipata bahati akaajiriwa serikalini mapema tu saivi anakula maisha huko Iringa.
Mkuu eti kapicha ka mtoto wa kiume wa nchama,dah kweli unawajua vilivo asee, umesahau pia anapenda kugongea hela ya chips kuna jamaa yake jirani hapo anauza chips!!
 
Mkuu hapo nilichanganya mark ya chemistry na physics
lakini huo mwaka mmoja(2016) ndo nilikuwa katika hyo school ya seminary napga ktabu na mwaka huu nlkuwa dsm bt now niliomba uhamisho tcu nkaenda "Mbeya" kupga ktabu. So now cpo tena dsm kwa sababu hyo
 
Wapuuzi mnataka watu waende teachers junction hamna lolote,
Hawa teachers junction wanachofanya ni kuhakikisha kila anayefika kwao anajisajili na kutoa ada kama 10,000 TZS kisha wanampotezea, sasa kwa kawaida nafasi kama hii watajitokeza watu hata 50 na wote watatoa ada ya kujisajili.

Mwanajamii forums kua makini na teachers junction, ukiamua kutafuta shule tafuta kivyako usiende kwa hawa jamaa utapoteza muda na pesa ya ada na nauli za kila siku.

Nawajua vema hawa jamaa hunidanganyi kitu kiongozi wao anaitwa Nchama jamaa flani mfupi ana mwili mdogo mdogo, nje ya ofisi yao kuna gari kubwa (basi) limepaki la miaka mingi sidhani kama lilishatoka, ni karibu na kituo cha polisi Magomeni.

Nilifika pale 2014.


Nakushauri Mr. Nchama tafuta kazi nyingine awamu hii hakuna kuishi kwa ujanja ujanja, kama unabisha ntamwaga kila kitu hapa mzee
Hiyo kuweka kiwango cha mshahara kimenipa wasiwasi... Mtu akiona atalipwa laki sita,elfu kumi itakua rahisi kutoa ili kujisajiri. Wanacheza na akili za watu hawa!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom