Nafasi za kazi NBS

Nafasi za kazi NBS

Lazima uwe na angalau elimu ya cheti ch
a ukusanyaji takwimu rasmi(official statistics) kutoka chuo cha takwimu Changanyikeni vinginevyo usijisumbue.Wako strict sana na wanadai hiyo ni kwa mujibu wa sheria mpya ya takwimu ya mwaka 2015.Ahsante.
That's right mdau nimeona kwenye website yao ,sasa najiuliza ina maana waliosoma takwimu vyuo vingine tofauti na Chuo chao hawahusishwi??? Na wanawekwa upande UPI???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanamaanisha cheti cha data collection kinatolewa chuo cha takwimu kwa miezi miwili,ada yake ni 450,000 na application ni 30,000 so andaa kama 480,000,ukisoma hiyo utakuwa na uhakika wa kazi kwakuwa wanavikazi vingi vingi so vijimilioni milioni hutovikosa
Evening progremme au full time mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
That's right mdau nimeona kwenye website yao ,sasa najiuliza ina maana waliosoma takwimu vyuo vingine tofauti na Chuo chao hawahusishwi??? Na wanawekwa upande UPI???

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama una degree ya takwimu kutoka chuo kingine ni lazima ukasome changanyikeni kwanza.Nadhani kuna makubaliano fulani yasiyo rasmi wameingia na kile chuo ili kukitangaza.
 
Jamani, nipo mkoa wa mara, je mkoa huu takwimu zinafanyika katika maeneo yapi?, nisaidieni kujua ili nirushe ndoano.

Sent using Jamii Forums mobile app
f03019f1dd48b54b49d05a26b470fc60.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu office za NBS Moshi -Kilimanjaro ziko maeneo gani? Msaada please..

Fight...believe & obedient
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom