uniquelady
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 420
- 177
- Thread starter
- #61
That's right mdau nimeona kwenye website yao ,sasa najiuliza ina maana waliosoma takwimu vyuo vingine tofauti na Chuo chao hawahusishwi??? Na wanawekwa upande UPI???Lazima uwe na angalau elimu ya cheti ch
a ukusanyaji takwimu rasmi(official statistics) kutoka chuo cha takwimu Changanyikeni vinginevyo usijisumbue.Wako strict sana na wanadai hiyo ni kwa mujibu wa sheria mpya ya takwimu ya mwaka 2015.Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app