mkaamweusi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2013
- 618
- 828
Ni kweli ni lazima uwe na basic ya statistics either ngazi ya cheti,diploma,degree,master's au PhD, by the way hiyo ni Kazi ya kitaaluma sio sensa kwa wabebwebebwe tu watu,ni taaluma hiyo otherwise kulikuwa hakuna umuhimu wa kuiintroduce ifundidhwe vyuoni,Anachokisema mkuu hapo ni kweli, hao jamaa kama hujasoma course yao hupati! Labda wawe wamebadilika kwenye awamu hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app