NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,873
- 3,200
Nahisi wa tatu.Wale walio tangulia Wana maliza lini?
Nahisi wa tatu.Wale walio tangulia Wana maliza lini?
Soon kitu gani mkuu?Soon
Acha uoga Mzee. Kwenye ajira 700....wa connection hawazidi 100Daah aisee yaani Bila connection Maisha ya ajira Hizi magumu
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Mkuu unaishi nchi gani, JW hawatangazagi nafasi za ajira ila kila mwaka Askari zaidi ya 3000 wanaapa pale Kihangaiko jiulize hawa wote wanapatikanaje, hata ukiwa kikosini hupati bila connection maana huko nako wako wengi zaidi ya nafasi zilizopo ndio maana kuna wanaorudi nyumbaniAcha uoga Mzee. Kwenye ajira 700....wa connection hawazidi 100
Aaah hizo achana nazo mkuu...nilijua unazisemea hizi za magerezaMkuu unaishi nchi gani, JW hawatangazagi nafasi za ajira ila kila mwaka Askari zaidi ya 3000 wanaapa pale Kihangaiko jiulize hawa wote wanapatikanaje, hata ukiwa kikosini hupati bila connection maana huko nako wako wengi zaidi ya nafasi zilizopo ndio maana kuna wanaorudi nyumbani
mkuu zile walizotangaza mwaka jana kwa kikosini kwetu niliomaliza nao kaondoka mmoja nae sababu alikuwa batman wa co akampiganishia juu kwa juu ila juz wamemaliza zaid ya 2000 ,yaani jw nafasi 3000 majina ya mchongo 5000 hapo bado walio jktAaah hizo achana nazo mkuu...nilijua unazisemea hizi za magereza
.jw labda uende kambini ...kujitolea ....ila ukiwa kitaa uwe na connection nzito
Duuuuh sure??mkuu zile walizotangaza mwaka jana kwa kikosini kwetu niliomaliza nao kaondoka mmoja nae sababu alikuwa batman wa co akampiganishia juu kwa juu ila juz wamemaliza zaid ya 2000 ,yaani jw nafasi 3000 majina ya mchongo 5000 hapo bado walio jkt
Hiz hazina formula ......na wanangu zaidi ya watano wazee walikuwa ma brigedia Bado wamekula za uso mkataba umeisha wako homemkuu zile walizotangaza mwaka jana kwa kikosini kwetu niliomaliza nao kaondoka mmoja nae sababu alikuwa batman wa co akampiganishia juu kwa juu ila juz wamemaliza zaid ya 2000 ,yaani jw nafasi 3000 majina ya mchongo 5000 hapo bado walio jkt
Mbanga inabidi akupigie pasi wakati bado yupo kwenye mfumo akishatoka ni ngumu labda awe jenerali mwenyewe kabisa.Hiz hazina formula ......na wanangu zaidi ya watano wazee walikuwa ma brigedia Bado wamekula za uso mkataba umeisha wako home
Exactly mkuu ....Hilo nimeliona Kwa hao wanguuMbanga inabidi akupigie pasi wakati bado yupo kwenye mfumo akishatoka ni ngumu labda awe jenerali mwenyewe kabisa.
Kaka vp jw hamna info yeyoteExactly mkuu ....Hilo nimeliona Kwa hao wanguu
Dogo moja Yuko ujenz handeni alinipa ronja ameskia huko waandae vyeti anytime kinawez kunuka uko jakata mkuu???Kaka vp jw hamna info yeyote
Nenda hospital yoyote ya serikali wanazo form utalipia around 10k.Medical form ya magereza inajazwa kwa nani msaada?
Na JKT kujitolea ulienda?Hizi ajira ni kizungumkutiiii wakuuu kikubwa muombe sana mungu na kupambana haswaaa......kingine maisha sio lazima yawe kwenye vyombo vya ulinziiiii tu maishaaa ni popote na kupambana na kuishiii kwa nidhamu....mpk sasa kitaa nishatoboa 4 years
Mapema sana mkuu nimebaki na gamba tuuuuNa JKT kujitolea ulienda?