Nafasi 3000 za JWTZ na waliopita JKT kwa Mujibu wa sheria.

Nafarijika sana Ninaposikia kauli ya ahadi ya mh.Rais wetu kuhusu kutoa nafasi za ajira kwa vijana wa kitanzania katika jeshi letu imara (Jwtz) na kutoa kipaumbele kwa vijana ambao wamepitia mafunzo ya jkt.

Ajira hizi ni wazi kuwa japo hazitomaliza lakini kwa kiasi fulani zitapunguza tatizo la ajira katika nchi.

Ninaimani na mchakato wa upatikanaji wa vijana wanaohitajika maana jeshi letu limeundwa na watu wenye nidhamu na moyo wa uzalendo tofauti na baadhi ya taasisi nyingine za serekali ambazo kwa kiasi Fulani bado kuna changamoto ya ukosefu wa uadilifu kwa baadhi ya watendaji wa taasisi hizo ambao mh.Rais na serekali yake makini amekua akipambananao kila siku.

Hivyo naona kuwa hii itakua ni fursa kubwa sana hasa kwa vijana ambao pengine waliwahi kujikatia tamaa ya kupata ajira kutokana na ile imani na mazoea tuliyojijengea miongoni mwetu kuwa hauwezi kupata ajira serekalini kama hauna mtu wa kukushika mkono.

Ombi kwa wahusika

Kuna vijana wengi na wazalendo kwa nchi yetu pendwa Tanzania, ambao wapo tayari na wanatamani kulitumikia taifa letu kupita Jwtz na walipitia mafunzo ya JKT KWA MUJIBU WA SHERIA na sasa wamemaliza vyuo na wapo tu mtaani.

Ninaimani Serekali yetu ni sikivu na masikio yake yapo kila mahali ivo huwenda wazo hili ambalo ni tumaini la vijana waliowengi waliopitia jkt kwa mujibu wa sheria likiwapendeza wahusika basi vijana hawa watapata nafasi ya kulitumikia taifa letu.

Sio Jwtz tu hata majeshi mengine kama magereza,polisi,migration na mengine amabayo sijayataja kuna vijana ambao wamepitia jkt kwa mujibu wa sheria wapo tayari kupiga kazi kwani askari na mzalendo wa kweli hachagui kazi bali anafata amri na kutekeleza majukumu.

Hayo ndio mawazo yangu Mimi kutokana na upeo wangu nilionao.Naamini hatulingani katika upeo na namna ya kupambanua mambo, kama kuna mwenye wazo,ushauri,marekebisho nipo tayari kupokea.

PIA : kwa yeyote mwenye updates zozote kuhusiana na ajira hizi 3000 au nyingine za majeshi kama polisi,magereza,TANAPA na migration tunaweza kupeana updates kupitia Uzi huu. Lugha ya MATUSI sio mahala pake.

Asanteni.
daah uz mzuri sana ila wa tanzania tunakosa majibu sahihi ya kujibu mahara sahihi, inakuwa ni kutishana kuongopeana na si kutoa fact.
 
20604573_1038712122925441_6555107077784477964_n.jpg
 
Kwa kifupi mambo hayakaririki jamani sio lazima kujitolea ndio upate ajira JWTZ, nasema ivi kwa sababu jeshi linajua mipango yake kulingana na hali halisi ya wakati husika. Mbona form six wa mujibu wale waliosomea sayansi hata mwaka huu wamepewa nafasi ya kuacha namba zao za simu kwa wale wanaotaka jeshi ukiacha ivyo mwaka jana pia rais aliamuru JWTZ iwape ajira vijana wale waliopitia mafunzo ya mgambo na hakuna aliyetegemea hilo watu tumekariri lazima JKT kujitolea na kuhusu wale form six waliokosa sifa za kwenda vyuoni mwaka jana kuna aliyetegemea kwamba watabakia vikosini baada ya miez mitatu kuisha? Ikumbukwe kwamba kila mtu ana bahati yake jamani tuache kujitamba kwa kuangalia hizo sifa ambazo kila mtu anajisifia kwa upande wake.
 
hizo sio kwa ajili ya waliomaliza kwa mujibu wa sheria. n kwa ajili ya op 2 op kikwete na op muungano ambao wamemaliza mikataba yao na bado wapo makambin
Ni wapi Rais alitangaza kwamba nafasi ni kwa ajili ya OP Muungano na OP kikwete?...

Acheni kukaririshana mambo mtaani... Hivi unatambua kwamba Rais alitoa amri ya mgambo kuajiriwa mwaka jana?... Lakini bado kuna vijana wa mujibu walichomekwa wakaenda kupiga kozi kihangahiko?

Unatambua kwamba mpaka leo kuna watu wanajiunga na jeshi bila kupita jkt?... Wiki mbili zilizopita vijana 300 wa mujibu wa sheria wamefanyiwa usaili wa kujiunga na TPDF(Wale waliosoma PCM,PGM na PCB).Lakini bado kuna watu kutoka mtaani walienda kupiga usaili pia kuna baadhi wa arts walifanyiwa usaili.

Cha muhimu ni kutambua kwamba JKT kwa kujitolea ni muhimu kwa wale wasioitambua system... Lakini kwa wale wanaoijua system wanaingia kivyovyote.

Ila kama umepiga mujibu wa sheria na hauna mtu wa kukupigania... Ndoto za kuingia jeshi ziue.
 
Nafarijika sana Ninaposikia kauli ya ahadi ya mh.Rais wetu kuhusu kutoa nafasi za ajira kwa vijana wa kitanzania katika jeshi letu imara (Jwtz) na kutoa kipaumbele kwa vijana ambao wamepitia mafunzo ya jkt.

Ajira hizi ni wazi kuwa japo hazitomaliza lakini kwa kiasi fulani zitapunguza tatizo la ajira katika nchi.

Ninaimani na mchakato wa upatikanaji wa vijana wanaohitajika maana jeshi letu limeundwa na watu wenye nidhamu na moyo wa uzalendo tofauti na baadhi ya taasisi nyingine za serekali ambazo kwa kiasi Fulani bado kuna changamoto ya ukosefu wa uadilifu kwa baadhi ya watendaji wa taasisi hizo ambao mh.Rais na serekali yake makini amekua akipambananao kila siku.

Hivyo naona kuwa hii itakua ni fursa kubwa sana hasa kwa vijana ambao pengine waliwahi kujikatia tamaa ya kupata ajira kutokana na ile imani na mazoea tuliyojijengea miongoni mwetu kuwa hauwezi kupata ajira serekalini kama hauna mtu wa kukushika mkono.

Ombi kwa wahusika

Kuna vijana wengi na wazalendo kwa nchi yetu pendwa Tanzania, ambao wapo tayari na wanatamani kulitumikia taifa letu kupita Jwtz na walipitia mafunzo ya JKT KWA MUJIBU WA SHERIA na sasa wamemaliza vyuo na wapo tu mtaani.

Ninaimani Serekali yetu ni sikivu na masikio yake yapo kila mahali ivo huwenda wazo hili ambalo ni tumaini la vijana waliowengi waliopitia jkt kwa mujibu wa sheria likiwapendeza wahusika basi vijana hawa watapata nafasi ya kulitumikia taifa letu.

Sio Jwtz tu hata majeshi mengine kama magereza,polisi,migration na mengine amabayo sijayataja kuna vijana ambao wamepitia jkt kwa mujibu wa sheria wapo tayari kupiga kazi kwani askari na mzalendo wa kweli hachagui kazi bali anafata amri na kutekeleza majukumu.

Hayo ndio mawazo yangu Mimi kutokana na upeo wangu nilionao.Naamini hatulingani katika upeo na namna ya kupambanua mambo, kama kuna mwenye wazo,ushauri,marekebisho nipo tayari kupokea.

PIA : kwa yeyote mwenye updates zozote kuhusiana na ajira hizi 3000 au nyingine za majeshi kama polisi,magereza,TANAPA na migration tunaweza kupeana updates kupitia Uzi huu. Lugha ya MATUSI sio mahala pake.

Asanteni.
Mbona umeanza kuwatenga wale was kujitolea mkuu, hivi unajua kwamba wanaokwenda JKT kwa mjibu wa sheria ni wale wanaomaliza form VI kabla ya kwenda chuo au umekariri tu?
 
Ni wapi Rais alitangaza kwamba nafasi ni kwa ajili ya OP Muungano na OP kikwete?...

Acheni kukaririshana mambo mtaani... Hivi unatambua kwamba Rais alitoa amri ya mgambo kuajiriwa mwaka jana?... Lakini bado kuna vijana wa mujibu walichomekwa wakaenda kupiga kozi kihangahiko?

Unatambua kwamba mpaka leo kuna watu wanajiunga na jeshi bila kupita jkt?... Wiki mbili zilizopita vijana 300 wa mujibu wa sheria wamefanyiwa usaili wa kujiunga na TPDF(Wale waliosoma PCM,PGM na PCB).Lakini bado kuna watu kutoka mtaani walienda kupiga usaili pia kuna baadhi wa arts walifanyiwa usaili.

Cha muhimu ni kutambua kwamba JKT kwa kujitolea ni muhimu kwa wale wasioitambua system... Lakini kwa wale wanaoijua system wanaingia kivyovyote.

Ila kama umepiga mujibu wa sheria na hauna mtu wa kukupigania... Ndoto za kuingia jeshi ziue.
bora umesema ukweli.... watu wanakariri maisha sana. Wanakariri kua JKT hutoa ajira bila kutambua malengo ya kuwepo JKT. Na hao OP za nyuma watachukua wenye vigezo tuu mfano umri wapo watakaorud kitaa kama kawa kwa kukosa vgezo.
 
Hapana mkuu haujanielewa vzr ht sikuwa na maana iyo..alafu kitu kingine Jeshini hakuna ishu za kukalili yaani kitu chochote kinaweza kutomea muda wowote..wale migambo walioenda jwtz walipitia jkt? Mara ngapi jeshi linachukua wataalam nje ya jkt na kwenda kupiga course ya uafisa moja kwa moja? Wote hatujui wao wanafikilia nini .

Only time will tell
 
KWELI AJILA ZIMEKUA ISSUE! KIUHALISIA KUCHUKUA MTAANI HAIWEZEKANI SAHAU.. KWA TAARIFA TU KWA WASIO FAHAMU KUHUSU HII ISHU, NI KWAMBA WAHUSIKA NI VIJANA WOTE WA KUJITOLEA AMBAO WALISHA FANYA USAILI WA TPDF /JWTZ NA PIA BADO WAKO KWENYE KAMBI ZA JKT WAKISUBILIA AJILA HUKU WAKIENDELEA KUFANYA SHUGHULI ZA UZALISHAJI MALI, HUKU WAKIFUATILIWA MIENENDO NA TABIA ZAO ,SIO YULE KIJANA ALIYENUSA KIKOSI CHA JKT KWA MIEZI MI3 NA KURUDI MITAANI, KUNA OP MIAKA 50 YA MUUNGANO, NA OP. KIKWETE AMBAO NDIO WAMEFANYA USAILI WA JESHI MPAKA SASA JUMLA YAO NI JUMLA YA VIJANA 5000, MUHESHIMIWA AMETANGAZA NAFASI 3000,ILA PROTOCALLY AJIRA ZA JESHI HUA HAZITANGAZWI HAZARANI. ELFU 3 IMETAJWA KISIASA ZAIDI ILA IDADI NI ZAIDI YA HIYO NA NI SIRI YA WAZIRI WA ULINZI, MKUU WA MAJESHI NA MAAFISA WAKUU WAANDAMIZI WA TPDF. KWA KUWA VIJANA NI WENGI KOZI ITAFANYIKA RTS KIHANGAIKO (MSATA) NA RTS OLJORO 833KJ ..NA ILI KUWAHAKIKISHIA HILI NI KWAMBA MPAKA SASA WAKUU WOTE WA VIKOSI VYA JKT WAKO KATIKA KIKAO KULE MMJKT WAKIJADILI MCHAKATO WA KUWAGAWA VIJANA KATIKA KAMBI ZA MAFUNZO, IPI IANZE IPI IFUATIE .NK. USAILI UTAFANYIKIA HUKO HUKO RTS NA USAILI NI WA DAMU PEKEAKE, KWA KUA VIJANA WALISHAFANYIWA USAILI WA AWALI WAKIWA VIKOSINI MWAO NA TIMU KUTOKA MAKAO MAKUU YA JWTZ ILIO HUSISHA VYETI VYAO, PRESHA, MACHO, UNYAYO, UHANITHI, KITU AMBACHO HAKIWEZI KURUDIWA KWA KIJANA ALIYEKO MTAANI, KWA SABABU YA GHARAMA, KAMA UNA SWALI NIULIZE NIKUJIBU ACHENI KUPOTOSHANA
 
Back
Top Bottom