Nafasi 3000 za JWTZ na waliopita JKT kwa Mujibu wa sheria.

Naomba unipe maana ya neno professional kwanza halafu nitakujibu kwa vielelezo, hapo ndipo tutajua nani ana professional inayompa ulaji mjini kati yako na yangu.
Halafu jeshi la wanachi mwenye six na degree wote wanasifa za kupiga kozi ya uafisa.
Fungua tovuti ya TPDF utaliona hili.Unaweza ukafika jeshi ukasota kwenye uaskari na degree yako kwa miaka mingi huku ukimgongea six leaver saluti kwa wingi.
Ila vipi kwenye mshahara watakuwa pamoja....hahahaha...aliye soma kasoma tuu
 
Ila vipi kwenye mshahara watakuwa pamoja....hahahaha...aliye soma kasoma tuu
Jeshi humlipa mtu mshahara kwa kuzingatia cheo chake na si elimu. Ingawa elimu huzaa au huditermine cheo.
Kama six atakuwa luteni na degree holder atakuwa na cheo cha chini kama vile Luteni Usu, au akawa askari(cheo kisicho na kamisheni) lazima atapigwa chini ktk mshahara.
Ofa yake huyu mwenye degree anapokuwa na wenzake alioawazd elimu na wako cheo kimoja ni kwamba atawapita kwenye posho(posho ya taaluma/ujuzi) ila hatamkuta yule aliyempita cheo hata kama aliyempita ana elimu ndogo zaid yake.
Inatosha, mimi si msemaji wa jeshi, am not paid for this job
 
Kwanini uhangaike uteseke mishahara yenyewe midogo halafu uhuru ndio unakosa kabisa mbona mtaa mtamu tu na pesa ipo

Hizo kazi waachieni wakina Ngutanyi na Wezele
 
Kwanini uhangaike uteseke mishahara yenyewe midogo halafu uhuru ndio unakosa kabisa mbona mtaa mtamu tu na pesa ipo

Hizo kazi waachieni wakina Ngutanyi na Wezele
Mkuu, ni kweli unayosema lakini, tatizo ni kwamba mtu anakuwa anapenda jeshi yani kutoka rohoni mwake.Mungu alimpatia kila mtu kipawa chake.Wengine wanapenda kuwa matajiri na kupata pesa, wengine wachungaji wengine walokole wengine ni madaktari wengine ni waalimu wakulima n.k.Sema tuu huko jeshini kumebana kwa miaka hii lkn ingekuwa hali ni nzuri, hata ningekuwa ninapata milioni kumi kwa mwezi mtaani, NINGEZIACHA NA KWENDA JESHINI KUPATA PESA KIDOGO YA HUKO LKN ILI MRADI NINAFANYA KILE KITU AMBACHO ROHO INAKIPENDA.
 
Back
Top Bottom