GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,776
Ndo nashangaa huyu anadhani wanaonhelewa wale wa mujibu wa sheria(miez mi3) ambao hata namba nadhani hawana.Wakisema mtu aliyepita JKT wanamaanisha Yale mafunzo ya Kujitolea Mdogo wangu.
JKT kwa kujitolea wapo vijana kibao kambini,mtaani kwenye makampuni ya ulinzi nk. Ambao hawa kozi yao ni ndefu na deep zaidi kuliko wale Form six leavers wanaoenda kwa lazima