Mie ni mtu wake wa piliAmeanza mapenzi ukubwani au ww ndio mtu wake wa kwanza
Ulijuajee lakini sio hivi jamaniUtakuta alikesha akiomba apewe mume mpole ....haha dunia punguza spidi
Sijawaza wala kufanya hivyoUtakuwa umeanza kukunwa nje ya ndoa wewe siyo bure.
Mtu toka uchumba ulivumilia Leo mna watoto ndo unakuja kulalamika huku!.
Kuwa serious na ndoa wewe!
Wapo wengine wanataman wampate hata kama huyo wako lakin ndo hvo.
Wewe toka 2012 thread zako nyingi za kulalamika kuhusu mapenzi
Sasa nifanyeje na yanaenda ndivyo sivyo
Mbinu yangu ya kukusaidia inaweza kukuumiza baadaeMie ni mtu wake wa pili
Kumbe sipo peke yangu loh. Ila sijafikia hiatus ya talaka naamini anaweza badilikaAisee kesi kama hiyo ndo ilomfanya mdogo angu ampige chini mume wake kwa kudai talaka mpaka ndoa imevunjika kwa sababu ya upole wa mumewe,niliposikia nilicheka sana aisee,alikuwa anasema mume hata kuongea wakiwa ndani hawezi,yy kama bubu tu.
We jamaa umenifanya nicheke yan!! True wanawake ndo wanapenda hvo
Ipi hiyo?Mbinu yangu ya kukusaidia inaweza kukuumiza baadae
Wee hatupendi hzo purukushani banaWanawake wanapenda Ile tombw... ya hovyohovyo,mara umemgeuza hivi,vileeee,anapika umemkamata twende ndani imooo!,ameoga amevaa anatoka unashika mkono inamaaa!!
Hawa watu kuwaelewa kazi sn
Wenzako wengi wanataka hivoWee hatupendi hzo purukushani bana
Huyooo ni chaguo lako, huyooo ni chaguo lako×3
Vumilia mama siku zote Mungu anakupa unachostahili sio unachotaka.
Huwa mnaenda misele wote?Ipi hiyo?
Weekend ndiyoHuwa mnaenda misele wote?
Naomba namba yako kwanzaWadau naombeni ushauri.
Mume wangu nampenda sana ila ni mpole kuongea kwake mpaka umuongeleshe umchangamshe nikiamua nami kuuchuna basi tunapiga kimya. Siku akiamua kuchangamka tu mwenyewe basi raha siku nzima. Tatizo hadi kitandani ni mpole mi nisipomuanza basi tutakaa kama kaka na dada mpaka nianze. Na no mwendo wa style moja tu basi hataki mashamsham. Nikiwa mjamzito ndo kabisaa hawezi mana style zingine sijui nikutotaka au kutojua.Yupo hivi tangu uchumba simuelewi yani. Nifanyeje abadilike jamani hamisa masham
We ke au me?Pia atakuwa na kibamia