Nafanyaje mume mpole hadi kitandani

Nafanyaje mume mpole hadi kitandani

Itoshe tu kusema vitu vizuri havikai pamoja.
 
Utakuwa umeanza kukunwa nje ya ndoa wewe siyo bure.
Mtu toka uchumba ulivumilia Leo mna watoto ndo unakuja kulalamika huku!.
Kuwa serious na ndoa wewe!
Wapo wengine wanataman wampate hata kama huyo wako lakin ndo hvo.
Sijawaza wala kufanya hivyo
 
Aisee kesi kama hiyo ndo ilomfanya mdogo angu ampige chini mume wake kwa kudai talaka mpaka ndoa imevunjika kwa sababu ya upole wa mumewe,niliposikia nilicheka sana aisee,alikuwa anasema mume hata kuongea wakiwa ndani hawezi,yy kama bubu tu.
Kumbe sipo peke yangu loh. Ila sijafikia hiatus ya talaka naamini anaweza badilika
 
Wanawake wanapenda Ile tombw... ya hovyohovyo,mara umemgeuza hivi,vileeee,anapika umemkamata twende ndani imooo!,ameoga amevaa anatoka unashika mkono inamaaa!!

Hawa watu kuwaelewa kazi sn
Wee hatupendi hzo purukushani bana
 

Mwaname mpole kama mlenda wa juzi hata hanogi.
 
Wadau naombeni ushauri.

Mume wangu nampenda sana ila ni mpole kuongea kwake mpaka umuongeleshe umchangamshe nikiamua nami kuuchuna basi tunapiga kimya. Siku akiamua kuchangamka tu mwenyewe basi raha siku nzima. Tatizo hadi kitandani ni mpole mi nisipomuanza basi tutakaa kama kaka na dada mpaka nianze. Na no mwendo wa style moja tu basi hataki mashamsham. Nikiwa mjamzito ndo kabisaa hawezi mana style zingine sijui nikutotaka au kutojua.Yupo hivi tangu uchumba simuelewi yani. Nifanyeje abadilike jamani hamisa masham
Naomba namba yako kwanza
 
So unahitaj wale wazee wa kubenjua, mara akuinamishe ,akufanye ivi ,akushike pale ,njee yakitanda ,sebulen mpaka jikon !!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom