Nafanyaje mume mpole hadi kitandani

Nafanyaje mume mpole hadi kitandani

Wadau naombeni ushauri.

Mume wangu nampenda sana ila ni mpole kuongea kwake mpaka umuongeleshe umchangamshe nikiamua nami kuuchuna basi tunapiga kimya. Siku akiamua kuchangamka tu mwenyewe basi raha siku nzima. Tatizo hadi kitandani ni mpole mi nisipomuanza basi tutakaa kama kaka na dada mpaka nianze. Na no mwendo wa style moja tu basi hataki mashamsham. Nikiwa mjamzito ndo kabisaa hawezi mana style zingine sijui nikutotaka au kutojua.Yupo hivi tangu uchumba simuelewi yani. Nifanyeje abadilike jamani hamisa masham
Kabila gani huyo labda?
 
Wadau naombeni ushauri.

Mume wangu nampenda sana ila ni mpole kuongea kwake mpaka umuongeleshe umchangamshe nikiamua nami kuuchuna basi tunapiga kimya. Siku akiamua kuchangamka tu mwenyewe basi raha siku nzima. Tatizo hadi kitandani ni mpole mi nisipomuanza basi tutakaa kama kaka na dada mpaka nianze. Na no mwendo wa style moja tu basi hataki mashamsham. Nikiwa mjamzito ndo kabisaa hawezi mana style zingine sijui nikutotaka au kutojua.Yupo hivi tangu uchumba simuelewi yani. Nifanyeje abadilike jamani hamisa masham
MPE mbuzi kagoma kwenda, yani chezea dushe lake, lishike then liingize likiingia fanya kama mbwa, unageuka yeye anakuwa nyuma alafu unazungusha kiuno, utaona anaanza kuhema haraka haraka, rudia mpaka akukojoze, hatokaa aache
 
yawezekana na wewe ni mvivu pia basi maana mwanamke mtundu ana uwezo wa kumchanagamsha bwana wake
 
Mkipata vichaa mnalia mnyanyaswa, mkipata waliotulia malalamlko kibao, Hapo huenda unawaza kuchepuka?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom