Nafanyaje mume mpole hadi kitandani

Nafanyaje mume mpole hadi kitandani

Wadau naombeni ushauri.

Mume wangu nampenda sana ila ni mpole kuongea kwake mpaka umuongeleshe umchangamshe nikiamua nami kuuchuna basi tunapiga kimya. Siku akiamua kuchangamka tu mwenyewe basi raha siku nzima. Tatizo hadi kitandani ni mpole mi nisipomuanza basi tutakaa kama kaka na dada mpaka nianze. Na no mwendo wa style moja tu basi hataki mashamsham. Nikiwa mjamzito ndo kabisaa hawezi mana style zingine sijui nikutotaka au kutojua.Yupo hivi tangu uchumba simuelewi yani. Nifanyeje abadilike jamani hamisa masham
I had yo dig your other threads, you are troubled my sister... I have no other words to describe this: you are troubled plain and simple.
 
Wadau naombeni ushauri.

Mume wangu nampenda sana ila ni mpole kuongea kwake mpaka umuongeleshe umchangamshe nikiamua nami kuuchuna basi tunapiga kimya. Siku akiamua kuchangamka tu mwenyewe basi raha siku nzima. Tatizo hadi kitandani ni mpole mi nisipomuanza basi tutakaa kama kaka na dada mpaka nianze. Na no mwendo wa style moja tu basi hataki mashamsham. Nikiwa mjamzito ndo kabisaa hawezi mana style zingine sijui nikutotaka au kutojua.Yupo hivi tangu uchumba simuelewi yani. Nifanyeje abadilike jamani hamisa masham
Anavuta bangi? Kama anavuta bangi vumilia tu ndio tupo hivyo tukichoma mjani
 
Wadau naombeni ushauri.

Mume wangu nampenda sana ila ni mpole kuongea kwake mpaka umuongeleshe umchangamshe nikiamua nami kuuchuna basi tunapiga kimya. Siku akiamua kuchangamka tu mwenyewe basi raha siku nzima. Tatizo hadi kitandani ni mpole mi nisipomuanza basi tutakaa kama kaka na dada mpaka nianze. Na no mwendo wa style moja tu basi hataki mashamsham. Nikiwa mjamzito ndo kabisaa hawezi mana style zingine sijui nikutotaka au kutojua.Yupo hivi tangu uchumba simuelewi yani. Nifanyeje abadilike jamani hamisa masham
Uwe unamkorofisha tu
 
Communication zingatia de same way umeandika mada hii tulia na mumeo baada ya chakula cha jioni mwambie nini unataka nini huenjoy
 
Wadau naombeni ushauri.

Mume wangu nampenda sana ila ni mpole kuongea kwake mpaka umuongeleshe umchangamshe nikiamua nami kuuchuna basi tunapiga kimya. Siku akiamua kuchangamka tu mwenyewe basi raha siku nzima. Tatizo hadi kitandani ni mpole mi nisipomuanza basi tutakaa kama kaka na dada mpaka nianze. Na no mwendo wa style moja tu basi hataki mashamsham. Nikiwa mjamzito ndo kabisaa hawezi mana style zingine sijui nikutotaka au kutojua.Yupo hivi tangu uchumba simuelewi yani. Nifanyeje abadilike jamani hamisa masham
Utakuta alikesha akiomba apewe mume mpole ....haha dunia punguza spidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom