I had yo dig your other threads, you are troubled my sister... I have no other words to describe this: you are troubled plain and simple.Wadau naombeni ushauri.
Mume wangu nampenda sana ila ni mpole kuongea kwake mpaka umuongeleshe umchangamshe nikiamua nami kuuchuna basi tunapiga kimya. Siku akiamua kuchangamka tu mwenyewe basi raha siku nzima. Tatizo hadi kitandani ni mpole mi nisipomuanza basi tutakaa kama kaka na dada mpaka nianze. Na no mwendo wa style moja tu basi hataki mashamsham. Nikiwa mjamzito ndo kabisaa hawezi mana style zingine sijui nikutotaka au kutojua.Yupo hivi tangu uchumba simuelewi yani. Nifanyeje abadilike jamani hamisa masham
HahahahaWewe toka 2012 thread zako nyingi za kulalamika kuhusu mapenzi tu shida iko wapi mama
mkuu kama wewe sio mwanamke ubaya wa kibamia unaujuaje?Pia atakuwa na kibamia
Anavuta bangi? Kama anavuta bangi vumilia tu ndio tupo hivyo tukichoma mjaniWadau naombeni ushauri.
Mume wangu nampenda sana ila ni mpole kuongea kwake mpaka umuongeleshe umchangamshe nikiamua nami kuuchuna basi tunapiga kimya. Siku akiamua kuchangamka tu mwenyewe basi raha siku nzima. Tatizo hadi kitandani ni mpole mi nisipomuanza basi tutakaa kama kaka na dada mpaka nianze. Na no mwendo wa style moja tu basi hataki mashamsham. Nikiwa mjamzito ndo kabisaa hawezi mana style zingine sijui nikutotaka au kutojua.Yupo hivi tangu uchumba simuelewi yani. Nifanyeje abadilike jamani hamisa masham




anza kuchepuka hakuridhishi huyo mtafute @zeshcrissUwe unamkorofisha tuWadau naombeni ushauri.
Mume wangu nampenda sana ila ni mpole kuongea kwake mpaka umuongeleshe umchangamshe nikiamua nami kuuchuna basi tunapiga kimya. Siku akiamua kuchangamka tu mwenyewe basi raha siku nzima. Tatizo hadi kitandani ni mpole mi nisipomuanza basi tutakaa kama kaka na dada mpaka nianze. Na no mwendo wa style moja tu basi hataki mashamsham. Nikiwa mjamzito ndo kabisaa hawezi mana style zingine sijui nikutotaka au kutojua.Yupo hivi tangu uchumba simuelewi yani. Nifanyeje abadilike jamani hamisa masham
mke nimepata hapa ama kweli sikukosea kukuchagua mama;Huyo ni mumeo, mbadilishe wewe! Ongea naye, cheza naye!
Hayo matatizo huwa yanawafanya wanaume kutokujiamini...na kuhisi kuwa wana element za kikemkuu kama wewe sio mwanamke ubaya wa kibamia unaujuaje?
Hujambo mchumba!mke nimepata hapa ama kweli sikukosea kukuchagua mama;
Utakuta alikesha akiomba apewe mume mpole ....haha dunia punguza spidiWadau naombeni ushauri.
Mume wangu nampenda sana ila ni mpole kuongea kwake mpaka umuongeleshe umchangamshe nikiamua nami kuuchuna basi tunapiga kimya. Siku akiamua kuchangamka tu mwenyewe basi raha siku nzima. Tatizo hadi kitandani ni mpole mi nisipomuanza basi tutakaa kama kaka na dada mpaka nianze. Na no mwendo wa style moja tu basi hataki mashamsham. Nikiwa mjamzito ndo kabisaa hawezi mana style zingine sijui nikutotaka au kutojua.Yupo hivi tangu uchumba simuelewi yani. Nifanyeje abadilike jamani hamisa masham