Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,664
- 22,256
Paka GLYCERIN.Wakuu kila nikifua mara nyingi hutokea haya magamba mfano wa yale ambayo yanaota baada ya kubangua korosho.lakini haya malaini laini.
Naepukaje hali hii maana inakeraga sana mda ungine?
Picha
View attachment 1112307View attachment 1112309View attachment 1112310