Joss
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 765
- 191
Nafikiri unapenda uendelee kuwa msiri/ usijulikane utambulisho(identity) wako, kutokana na mambo ambayo unaandika ama kutupasha. Kama kuna watu ambao wamepewa kazi ya kutafuta utambulisho wako, mbona umewarahisishia kazi, maana watakuwa wamepunguza sample na kubakiza wale tu walioko kwenye msafara wa Zitto, then wataendelea na upembuzi mwingine wa kina na hatimaye itakuwa rahisi kukudaka.
Kama wewe ni mwanausalama, sikutegemea useme wazi kuwa upo kwenye msafara wa Zitto, vinginevyo umejisahau, au si mwanausalama, ama ni makusudi tu.
Anyway, keep us updated.
Thanks....
Kama wewe ni mwanausalama, sikutegemea useme wazi kuwa upo kwenye msafara wa Zitto, vinginevyo umejisahau, au si mwanausalama, ama ni makusudi tu.
Anyway, keep us updated.
Thanks....