Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Nipo ktk msafara wa bwana Zito tayari kuungana na wagonjwa wenzake pale India, nitawajuza juu ya hali ya Kamanda Mwakyembe!
Naomba sana:
Usinihoji chochote juu ya Zito au Mwakyembe
Usilulize tupo wangapi ktk msafara
Nitawaeleza yote baada ya kufika India!
JASON BOURNE
TEL:
ID :
Mtanisamehe kwa kuchelewa kuwapa ripoti za wagonjwa wetu waliopo India.
Hii ilitokana na mazingira ya hali ya juu ya usalama iliyowekwe juu ya wagonjwa hawa.
Ikanilazimu mpaka nifike mjini Perth Australia ndipo niwape kile nilicho kiona kwa wagonjwa wetu.
Zitto Kabwe
Hali yake tangu alipofika mpaka jana nilipomwacha ilikuwa ya kuridhisha kwa ujumla labda yatokee mabadiliko yoyote leo hii.
Madai ya kulishwa sumu na TISS:
Kulingana na vyanzo vyangu vya habari, taaluma na kipaji changu cha uchunguzi na uzuiaji wa matukio, ninasema nitakuja kulifanyia kazi nikirudi. Ila madaktari wa wanaweza kuwa na jibu ingawa hamtaelezwa ukweli watanzania wala ndugu wa mgojwa.
Hali ya Mwakyembe
Katika jamii inayoamini maombi kuwa ni sehemu ya uponyaji, basi yatupasa watanzania wenye mapenzi mema na Mh Mwakyembe tufanye hivyo tena haraka sana
Kwa mda wa dk20 nizokaa ndani ya chumba chake maalumu chenye vihami sumu, kwakweli nilitokwa na machozi.
Mh hali yake ni mbaya! Nadhani mtu mzima akisema hali ni maya bila shaka mnatambua.
Hali ya Mwandosya:
Mh Mwandosya sikuweza kumuona live hii ni kutokana na mahali alipolazwa kuwa mbali kidogo na hapo alipo Mwakyembe,
Taarifa nilizo zipatata kutoka kwa Daktari Virmandh Gaemr mmoja wa madaktari wanaomtibu Mwandosya ni kuwa hali yake haina tofauti sana na ya Mwakyembe.
Hayo ndiyo niliyoyaona kwa macho yangu!
Asanteni sana.
Naomba sana:
Usinihoji chochote juu ya Zito au Mwakyembe
Usilulize tupo wangapi ktk msafara
Nitawaeleza yote baada ya kufika India!
HALI YA WAGONJWA DR MWAKYEMBE, MWANDOSYA NA ZITTO -INDIA
JASON BOURNE
TEL:
ID :
Mtanisamehe kwa kuchelewa kuwapa ripoti za wagonjwa wetu waliopo India.
Hii ilitokana na mazingira ya hali ya juu ya usalama iliyowekwe juu ya wagonjwa hawa.
Ikanilazimu mpaka nifike mjini Perth Australia ndipo niwape kile nilicho kiona kwa wagonjwa wetu.
Zitto Kabwe
Hali yake tangu alipofika mpaka jana nilipomwacha ilikuwa ya kuridhisha kwa ujumla labda yatokee mabadiliko yoyote leo hii.
Madai ya kulishwa sumu na TISS:
Kulingana na vyanzo vyangu vya habari, taaluma na kipaji changu cha uchunguzi na uzuiaji wa matukio, ninasema nitakuja kulifanyia kazi nikirudi. Ila madaktari wa wanaweza kuwa na jibu ingawa hamtaelezwa ukweli watanzania wala ndugu wa mgojwa.
Hali ya Mwakyembe
Katika jamii inayoamini maombi kuwa ni sehemu ya uponyaji, basi yatupasa watanzania wenye mapenzi mema na Mh Mwakyembe tufanye hivyo tena haraka sana
Kwa mda wa dk20 nizokaa ndani ya chumba chake maalumu chenye vihami sumu, kwakweli nilitokwa na machozi.
Mh hali yake ni mbaya! Nadhani mtu mzima akisema hali ni maya bila shaka mnatambua.
Hali ya Mwandosya:
Mh Mwandosya sikuweza kumuona live hii ni kutokana na mahali alipolazwa kuwa mbali kidogo na hapo alipo Mwakyembe,
Taarifa nilizo zipatata kutoka kwa Daktari Virmandh Gaemr mmoja wa madaktari wanaomtibu Mwandosya ni kuwa hali yake haina tofauti sana na ya Mwakyembe.
Hayo ndiyo niliyoyaona kwa macho yangu!
Asanteni sana.