Hata ikiwa ni kwa bahati mbaya, bado ni yaleyaleWewe unavyomuona Mbowe ni mtu wa kuuwa mtu kweli.
Hivi hamjui kuwa Mbowe ni mzalendo mfia nchi.
Tell them to free him.
Hata ikiwa ni kwa bahati mbaya, bado ni yaleyaleWewe unavyomuona Mbowe ni mtu wa kuuwa mtu kweli.
Hivi hamjui kuwa Mbowe ni mzalendo mfia nchi.
Tell them to free him.
Inawezekana kwa haya yanayoendekea nchini kwa sasa baada ya makamu wa Magu kuwa rais na kuonyesha ukatili kumzidi basi yaweza kuwa ukatili wa Magu ulikuwa ukiratibiwa na makamu wake.Ukitaka kujua usaniii wa Polisi
Barua ya mwaka Jana 2020
Hata magufuli ajafa maana yake waliiandaa toka mwaka Jana kumtengenezea kesi.
Na wakakosa ushahidi sasa wameona watumie hoja ya katiba kumnyamazisha
Ila sasahivi ndio tunaanza sasa kudai katiba mpya ile rasmi
Mbowe anawashinda kwa Hoja wote CCM kwa ujumla wao....labda wao ndiyo walitaka kumuua yeye.Habar wadau najua baada ya Mh Mbowe kukamatwa na Polisi kusema kuwa anashutumiwa kwa makosa ya Ugaidi na kupanga njama za kuua Viongozi wa Serikali Nina Imani kabisa utakuwa unajiuliza ni nani huyo kiongozi aliyetaka kuuliwa na Mbowe?
Najua Kuna watu Wana watu mjini hapa wanaoweza kuwapa Baadhi ya Taarifa za Chini chini je mnaweza kutuambia Mbowe shutuma zake zilimlenga nani?
Mama asicheke nao hawa atavuna mabua hawafai.Mzalendo hawezi kuhamasisha vuru na uvunjifu wa amani.
angalia viongozi wenzake wa vyama vingine kama kina Mbatia, Lipumba na wengine uliwahi kuwasikia wanahamasisha vurugu?
Mbowe yeye kila kukicha anapanga mipango ya kuuwa na kuwaumiza watu.wasio na hatia kisa anataka kushika dola, dola haitafutwi kimafia.
hii nchi imejengwa kwenye misingi imara ya Amani na Utulivu.
Amani na utulivu ndio mboni yetu, sasa Mbowe na genge lake wanapanga umafia wao halafu unataka serikali iwachekee.
Kwani kuna mtu alishajiaminisha kuwa kifo cha JPM kilikuwa cha kawaida, na ya kwamba tujifute tu machozi na kusonga mbele bila uchunguzi wowote.? Tutakuwa taifa la ajabu sana kiongozi wa nchi afe katika mazingira ya kutatanisha halafu eti tuchukulie poa.
Lissu mwenyewe anajua huu ujumbe wako kumuhusu yeye kutaka kuuwawa na Mbowe ni rubbish kabisaHawa wamepotezwa na hiki hiki kikosi kazi cha Mbowe.
Mwisho wake umefika. Wanateketeza watu kisha wanatengeneza mazingira ionekane ni serikali inahusika.
Fikra zako mbona zimekaa kinadharia sana- Msingi wa hoja yako ni upi?Kifo cha huyu jpm
Nami nahisi siokifo cha kawaida.
Kulikuwa na mpango mkakati mkubwa sana
kuanzia kwa Kijazi na jpm.
Ndugu haya mambo ni ngumu sana kuyabaini kuna watu tunawaona kwa mtizamo wa nje ni watu wema sana lakini nyuma yao ni hatari zaidi.
Lakini tutajua tu huko badae
Unahitaji nikujibu vipi?Fikra zako mbona zimekaa kinadharia sana- Msingi wa hoja yako ni upi?
Kwa hiyo hawa ndo viongozi wa kitaifa!?ben saanane, chacha wangwe, tundu lissu, mlinzi wa dr.slaa, zitto alikoswakoswa kulishwa sumu kule bagamoyo hotel,
Habar wadau najua baada ya Mh Mbowe kukamatwa na Polisi kusema kuwa anashutumiwa kwa makosa ya Ugaidi na kupanga njama za kuua Viongozi wa Serikali Nina Imani kabisa utakuwa unajiuliza ni nani huyo kiongozi aliyetaka kuuliwa na Mbowe?
Najua Kuna watu Wana watu mjini hapa wanaoweza kuwapa Baadhi ya Taarifa za Chini chini je mnaweza kutuambia Mbowe shutuma zake zilimlenga nani?
Mkuu hebu tuambie wewe ni nani kati ya "Slow-Slow" na "Beshiri"? Maana naona leo unamwandama sana Mbowe!Habar wadau najua baada ya Mh Mbowe kukamatwa na Polisi kusema kuwa anashutumiwa kwa makosa ya Ugaidi na kupanga njama za kuua Viongozi wa Serikali Nina Imani kabisa utakuwa unajiuliza ni nani huyo kiongozi aliyetaka kuuliwa na Mbowe?
Najua Kuna watu Wana watu mjini hapa wanaoweza kuwapa Baadhi ya Taarifa za Chini chini je mnaweza kutuambia Mbowe shutuma zake zilimlenga nani?
Sheria ni msumeno kamandaUkitaka kujua usaniii wa Polisi
Barua ya mwaka Jana 2020
Hata magufuli ajafa maana yake waliiandaa toka mwaka Jana kumtengenezea kesi.
Na wakakosa ushahidi sasa wameona watumie hoja ya katiba kumnyamazisha
Ila sasahivi ndio tunaanza sasa kudai katiba mpya ile rasmi
watu stupid kama wewe ndio watajiuliza ujinga kama huo eti alitaka kumuua nani, stupid idiots will ask such silly rubbish shit!Habar wadau najua baada ya Mh Mbowe kukamatwa na Polisi kusema kuwa anashutumiwa kwa makosa ya Ugaidi na kupanga njama za kuua Viongozi wa Serikali Nina Imani kabisa utakuwa unajiuliza ni nani huyo kiongozi aliyetaka kuuliwa na Mbowe?
Najua Kuna watu Wana watu mjini hapa wanaoweza kuwapa Baadhi ya Taarifa za Chini chini je mnaweza kutuambia Mbowe shutuma zake zilimlenga nani?
Kenya walisema walimkuta ana covid 19.Mkuu wa nchi aliyepita na kipenzi cha watanzania...
Nahisi hujamalizia dozi yako ya dawa ya kutuliza kichaa. Angalia wasije kukuzoa wakakurudisha MirembeHabar wadau najua baada ya Mh Mbowe kukamatwa na Polisi kusema kuwa anashutumiwa kwa makosa ya Ugaidi na kupanga njama za kuua Viongozi wa Serikali Nina Imani kabisa utakuwa unajiuliza ni nani huyo kiongozi aliyetaka kuuliwa na Mbowe?
Najua Kuna watu Wana watu mjini hapa wanaoweza kuwapa Baadhi ya Taarifa za Chini chini je mnaweza kutuambia Mbowe shutuma zake zilimlenga nani?
Nyerere.Habar wadau najua baada ya Mh Mbowe kukamatwa na Polisi kusema kuwa anashutumiwa kwa makosa ya Ugaidi na kupanga njama za kuua Viongozi wa Serikali Nina Imani kabisa utakuwa unajiuliza ni nani huyo kiongozi aliyetaka kuuliwa na Mbowe?
Najua Kuna watu Wana watu mjini hapa wanaoweza kuwapa Baadhi ya Taarifa za Chini chini je mnaweza kutuambia Mbowe shutuma zake zilimlenga nani?