abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habar wadau najua baada ya Mh Mbowe kukamatwa na Polisi kusema kuwa anashutumiwa kwa makosa ya Ugaidi na kupanga njama za kuua Viongozi wa Serikali Nina Imani kabisa utakuwa unajiuliza ni nani huyo kiongozi aliyetaka kuuliwa na Mbowe?
Najua Kuna watu Wana watu mjini hapa wanaoweza kuwapa Baadhi ya Taarifa za Chini chini je mnaweza kutuambia Mbowe shutuma zake zilimlenga nani?
Najua Kuna watu Wana watu mjini hapa wanaoweza kuwapa Baadhi ya Taarifa za Chini chini je mnaweza kutuambia Mbowe shutuma zake zilimlenga nani?