Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 3,548
- 7,370
Nipo Mwanza kaka
Nipo mwanza kakaAjira gan bongo hii rafiki yangu fanya kozi yeyote bro itakusaidia na kwanza upo mkoa gani
Siwezi kuwa na mwanaume anayeshinda mtandaoniHawezi olewa huyo inaonekana kipindi yupo kwenye form alikuwa anaringa sana nyakati za lala salama ndo kaanza kutapatapa
Haaaaaaaaah endelea kukaza fuvu kama utawapata wenye vigezo vyakoSiwezi kuwa na mwanaume anayeshinda mtandaoni
Si uachane na Mimi we vipiHaaaaaaaaah endelea kukaza fuvu kama utawapata wenye vigezo vyako
Mpaka uelewe kuwa mwanaume ni perfect 100% na hakoseagiSi uachane na Mimi we vipi
tafuta passport nikupe mchongo bro nimeokolea wengi na wameajiriwa na lesen hata ndogo itakuwa vizur zaidi and be 25 to 35 broNipo mwanza kaka
kwani Baba mtakatifu91 ulishamwambia huyu kuwa unamuoa na afu unashnda mtandaoni. Bt cku hizi kila kitu ni online mda wa kwenda posta ulishaisha babygal. Sa hivi ili upate ajira japo ya kusema umeajiriwa inakupasa uwe mzoefu wa mtandao. Sasa wewe kaa hapo na bundle la kukopa na kuleta mada za nyefnyef. Nataman nikuone nijue wewe ni lita ngapiSiwezi kuwa na mwanaume anayeshinda mtandaoni
Asante sana kaka nakupatajetafuta passport nikupe mchongo bro nimeokolea wengi na wameajiriwa na lesen hata ndogo itakuwa vizur zaidi and be 25 to 35 bro
humu humu mimi simbanduki bundle nalipia mothly hata Marry Diana asemeje hapo alipo bundle limekata ndio maana hajajaAsante sana kaka nakupataje
Kaanzisha uzi mwingine unafanana na huu aisee huyu dada anahitaji msaada wa kisaikolojiahumu humu mimi simbanduki bundle nalipia mothly hata Marry Diana asemeje hapo alipo bundle limekata ndio maana hajaja
Nitakucheki kaka tuone venye itakavyokuwahumu humu mimi simbanduki bundle nalipia mothly hata Marry Diana asemeje hapo alipo bundle limekata ndio maana hajaja
nilimwambia lazma aukimbie huu hata huo nikiukuta lazma aukimbieKaanzisha uzi mwingine unafanana na huu aisee huyu dada anahitaji msaada wa kisaikolojia
Search uzi "ukweli usemwe watu wanaumizwa mno" anawalalamikia kina HoloholoMadam Marry Diana njoo nikupe mchongo hata kunyoa mbuzi wangu ndevu. Acha kukaa hapo ukilia lia kwa kutendwa na wanaume
Mimi nikiwa nyumbani situmii bundle sasa sijui unasemajehumu humu mimi simbanduki bundle nalipia mothly hata Marry Diana asemeje hapo alipo bundle limekata ndio maana hajaja
nyumbani wafanya nini badala uje tushushe haya makonyagoMimi nikiwa nyumbani situmii bundle sasa sijui unasemaje
Kwa nilivomsoma Marry Diana anaonekana ni binti mrembo sana yupo kwenye peak cha kumshauri ajikubali tu atapata hitaji la moyo wakenyumbani wafanya nini badala uje tushushe haya makonyago
Kaka Mimi ni mrembo wala hujakoseaKwa nilivomsoma Marry Diana anaonekana ni binti mrembo sana yupo kwenye peak cha kumshauri ajikubali tu atapata hitaji la moyo wake
yan unapendwa usifiwe tu penye hamna. Ok we ni figure 8. Mtoto mzuri umekula?Kaka Mimi ni mrembo wala hujakosea