Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,327
- 24,209
Hili shirika la kujenga nyumba kwa wananchi, National Housing Corporation NHC, sasa imethibitika liko katika hali mbaya sana kifedha.
Hii ni licha ya kuambiwa uchumi wetu wa viwanda unakua kwa zaidi ya 7%.
Miradi iliyo mbele ya macho na inaonekana kila siku pale Morocco na Kawe, imesimama kabisa kwa miaka takriban minne sasa.
Hiyo ni dalili tosha kudorora kwa NHC.
Siyo siri, tutakachosikia punde ni shirika kushindwa kulipa mishahara ya wafanyakazi.
MAHAME YA KAWE BEACH
Hii ni licha ya kuambiwa uchumi wetu wa viwanda unakua kwa zaidi ya 7%.
Miradi iliyo mbele ya macho na inaonekana kila siku pale Morocco na Kawe, imesimama kabisa kwa miaka takriban minne sasa.
Hiyo ni dalili tosha kudorora kwa NHC.
Siyo siri, tutakachosikia punde ni shirika kushindwa kulipa mishahara ya wafanyakazi.
MAHAME YA KAWE BEACH