Hahahaaaa kasoro amejiandaa kwenye kitanda cha hospitalMtoto mzuri lkn... 😂
Ndugu tatizo lipo kwetu tunachagua kwa vigezo vya kibinadamu kama tabia, sura,elimu, kabila n.k hivyo ndivyo makosa yetu
Hapo hapo analiwa tu! 🙆🏾♂️😬😬😬
Hayo ndiyo magonjwa anayotibu hapoHapo hapo analiwa tu! 🙆🏾♂️😬😬😬
Ndugu mwandishi..Waleeni mabinti zenu vizuri ili wawe wake bora baadaye, acheni kulaumu haitasaidia, jiulize wewe kama baba unashiriki vipi kuhakikisha binti yako ni wife material wa baadaye?
Tena baadhi ya wchngj ni hatariiii Sana Kama yule aliye kula demu wakoNdugu mwandishi..
Unaweza ukalea weeee ila dunia ikakufanya VISIVYO.
Hivi unajua kuwa Amber Rutty baba ake ni ustadhi?
Hivi unajua watoto wa wachungaji Chuoni wanaliwa sanaa?
#YNWA
Mwamba vipi unashida na Mimi?Tena baadhi ya wchngj ni hatariiii Sana Kama yule aliye kula demu wako
Wa mtaani kwako nini? Umetembea miji na vijiji vyote?Huu utafiti binafsi nilioufanya pamoja na kuwa idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume nimekuja gundua kuna idadi ndogo ya wife material kwa mana hiyo nusu ya wanawake wa sasa hawafai kabisa kuolewa
Kwa hali ya sasa ukifikilia kwa makini ni kama hatuna wanawake wakuoa wengi wamekuwa na viburi na zarau. Ukipata mwanamke mnyenyekevu mwenye kukuheshimu ujue umefanikiwa sana
Pia, kuna kundi wanawake waliozalia nyumbani hawa nao ndio hawana sifa kabisa ya kuolewa kuna wanaume walijaribu kuwa sitiri lakini mwisho waliendelea na mahusiano ya awali
Waoaji wapo shida kubwa wanawake wa sasa wameshindwa kujitambua kuwa uzuri huwa unamwisho wakishagonga age 30 bila ndoa ndio ufahamu unarudiumeongea point sana mkuu lakini hata sasa waowaji wapo wachache pia vijana wengi wasasa hawataki kuoa
Ipo wazi wanawake wengi sasa hawaolewi sababu ya tabia zaoWa mtaani kwako nini? Umetembea miji na vijiji vyote?
Tunaomba ufafanuzi zaidi Mkuu.... Hapo uliposema kuwa Ndoa pia ni chanzo Cha umasikini Tanzania.Sio 50% hawafai, 99.9% hawafai kuolewa wala Kuwa Mama, Ni ngumu ila ndio ukweli, Ili kukabiliana na hili tatizo ndoa za mkataba na prenuptial agreement ni lazima. Kwa hio sheria za ndoa lazima zibadilishwe, kwani hiki ni chanzo pia cha umasikini Tanzania. Tz sio ya kwanza kubadilisha sheria za ndoa, China iligungua sheria za ndoa zinarudisha UCHUMI nyuma na wakabadilisha.
Huko kwenu wapi ndugu tuje tuwachumbieMbona huku kwetu wadada wanasalimia na wakarimu sana au nyie wandugu mnataka mambo yapi tena?
Mimi mhanga wa wanawake wa design hiyoHuu utafiti binafsi nilioufanya pamoja na kuwa idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume nimekuja gundua kuna idadi ndogo ya wife material kwa mana hiyo nusu ya wanawake wa sasa hawafai kabisa kuolewa
Kwa hali ya sasa ukifikilia kwa makini ni kama hatuna wanawake wakuoa wengi wamekuwa na viburi na zarau. Ukipata mwanamke mnyenyekevu mwenye kukuheshimu ujue umefanikiwa sana
Pia, kuna kundi wanawake waliozalia nyumbani hawa nao ndio hawana sifa kabisa ya kuolewa kuna wanaume walijaribu kuwa sitiri lakini mwisho waliendelea na mahusiano ya awali