Nadhani mnaanza kumuelewa Jingalao!

Nadhani mnaanza kumuelewa Jingalao!

Hongera aisee!!siku hizi umekomaa kisiasa!!!nilikua nakujaza upepo makusudi nione reaction yako!!ahahahahaha kumbe unafatilia kweli Mwendo wa Magufuli

BTW 3billions hazijaliwa bali hazitoshi kwa matengenezo

Matengenezo gani wakati mashine zimeshabuma... Magufuli ametapeliwa
 
sehemu tofauti zipi

Alisema bali hakutaja au sizikumbuki kama alitaja si unajua tena video

Mashine zenyewe phillips wanadai pesa ndefu hata hiyo bil 3 haifikii nusu la deni

Jembe kakuta vituko watu hawalipi wanajaza matumbo na hospitali wanapata shida ndio hawamu ya nne ilivyokuwa matanuzi tu na kuchezea pesa bila kujali wananchi

Ila najua ulifurahia hotuba ya leo
 
Alisema bali hakutaja au sizikumbuki kama alitaja si unajua tena video

Mashine zenyewe phillips wanadai pesa ndefu hata hiyo bil 3 haifikii nusu la deni

Jembe kakuta vituko watu hawalipi wanajaza matumbo na hospitali wanapata shida ndio hawamu ya nne ilivyokuwa matanuzi tu na kuchezea pesa bila kujali wananchi

Ila najua ulifurahia hotuba ya leo

Hata jk alikuwa na hotuba nzuri zaidi ya hii. ,lakini vitendo Zero
 
unajidanganya..mzee wa msoga juzi alichukua ndege ya rais akaenda zake kula bata uswis,, magufuli ikabidi aende dodoma na gari

Kwahiyo unamaanisha mzee wa msoga hadi sasa ni rais😕😕😕
 
Hata jk alikuwa na hotuba nzuri zaidi ya hii. ,lakini vitendo Zero

Lazima jembe limeshakupitia

Natumaini haukutoa pesa zakobzote kwenye kusapoti uchaguzi na ndio maana bado unaumia

Na hapo bado unafanyia kazi serikali ya CCM. Unanyooshwa haswa no rushwa...au?
 
Tumpe siku Mia bana, Jingalao you are too hysterical tuliza makalio chini baada ya siku 100 ndio urudi hapa na kumsifia baada ya kuona dira yake ikifanyiwa kazi. Maneno mazuri hata Kikwete alikua nayo.
Utaendelea kutoa siku mpaka miaka mitano itaisha...kubali kuwa huyu ndiye aliyetabiriwa na kuhitajika kwa miaka mingi
 
Sijamshabikia Magufuli kwa bahati mbaya.
Nilimshabikia kwa imani kubwa juu yake.

Nilimshabikia kwa kuwa nilijua ni mteule na ni mteule wa kweli mwenye kusimamama katika kweli.

Nilimshabikia kama mzalendo Mtanzania bila kulipwa chochote na asiyetegemea kulipwa chochote.

Nilimshabikia kwa kuwa yuko genuine!

Nilimshabikia SANA ili nchi yetuisitumbukie kwenye mikono ya mafisadi.

Kamwe sitajutia kumshabikia Magufuli kwa kuwa watanzania wa hali ya chini kama mimi watafaidika.

Nilikubali kejeli na matusi yote ili tu watanzania wapate kilicho bora.

Niliuvaa ujinga ili tu watoto na vijana wetu wanielewe.

Niliuvaa utoto na ujana kwa maslahi ya mama Tanzania!

Watanzania watakuwa wananielewa sasa kile nilichokishabikia kwa ukweli au propaganda ni kipi hasa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Its too early to say this kumbuka maneno si vitendo your guy has a long way to go before judging him
 
Hongera aisee!!siku hizi umekomaa kisiasa!!!nilikua nakujaza upepo makusudi nione reaction yako!!ahahahahaha kumbe unafatilia kweli Mwendo wa Magufuli

BTW 3billions hazijaliwa bali hazitoshi kwa matengenezo

Mkuu hivi mpya ni sh. ngapi?
 
Ukawa ni mashetani, wao wanasubiri wakosee ccm, yaani hawaitakii mema nchi yetu, nawachukia sana
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, hizi kero zote ambazo Mhe Rais Daktari JPM amezizungumzia katika hotuba yake - tena kwa hisia kali, ndio hizo hizo ambazo Ukawa wamekuwa wakilia nazo katika bunge lote la 10 lakini Magambas (ikiwa ni pamoja na Mhe Dkt Rais) wakiziba masikio. Mimi nimefarijika sana kuona Mhe Rais naye amejiunga na wanabadiliko (bila kubadilisha label ya chama) kama ambavyo Mhe EL naye alijaribu kwa kubadili label cha chama lakini NEC wakafanya vitu vyao. Kama kuna watu ambao wanapaswa kuwa na furaha kubwa sana leo ni wanaUkawa - hatimaye magambas wamekubali na kutambua ukweli, angaa, wa yale waliyokuwa wakielezwa humo humo Bungeni lakini wakawa wanajifanya mazuzu! Kama watanzania tungekuwa na za kutosha, tungeonesha shukrani kwa ukawa kwa kazi iliyotukuka. Haya tuliyoyasikia leo ni TUNDA HALISI ZA MPAMBANO uliosimamiwa na Ukawa.
 
Hao mafundi walitumwa na nani ?

Mafundi wanatekeleza mkataba wao halali baada ya kulipwa na hawajatumwa na Magufuli bali amewalipa haki yao. Ina maana kama wameshindwa kuziponya watatoa sababu. Siyo kila mgonjwa akienda kutibiwa kila dawa inamponya. Hakuna ulimwengu kama huo. Kuna wakati mgonjwa hubadilishiwa dawa. Fundi atasema what next. Kama kununua mpya haya. Tatizo lako upotoshe tuu
 
Sijamshabikia Magufuli kwa bahati mbaya.
Nilimshabikia kwa imani kubwa juu yake.

Nilimshabikia kwa kuwa nilijua ni mteule na ni mteule wa kweli mwenye kusimamama katika kweli.

Nilimshabikia kama mzalendo Mtanzania bila kulipwa chochote na asiyetegemea kulipwa chochote.

Nilimshabikia kwa kuwa yuko genuine!

Nilimshabikia SANA ili nchi yetuisitumbukie kwenye mikono ya mafisadi.

Kamwe sitajutia kumshabikia Magufuli kwa kuwa watanzania wa hali ya chini kama mimi watafaidika.

Nilikubali kejeli na matusi yote ili tu watanzania wapate kilicho bora.

Niliuvaa ujinga ili tu watoto na vijana wetu wanielewe.

Niliuvaa utoto na ujana kwa maslahi ya mama Tanzania!

Watanzania watakuwa wananielewa sasa kile nilichokishabikia kwa ukweli au propaganda ni kipi hasa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Kwani magufuli alitukanwa na kudhihakiwa kuliko lowasa, vichwa 32 vyote vilikuwa ni kumtukana lowasa,mamvi yeye kiiimya, sijui familia yake ilikuwa inajisikiaje, sasa unaposema kejeli na matusi, labda ile zomea zomea ya mbeya, lakini kwa kejeli na matusi kijani mlimtusi sana mamvi
 
Back
Top Bottom