nyamasaka
Senior Member
- Aug 17, 2014
- 124
- 46
Ukawa ni mashetani, wao wanasubiri wakosee ccm, yaani hawaitakii mema nchi yetu, nawachukia sana
Heheeeeeeeeeeee, teheteheteheeeeee kumbe ccm ndo nchi ? !!!!!!!!.
Ukawa ni mashetani, wao wanasubiri wakosee ccm, yaani hawaitakii mema nchi yetu, nawachukia sana
Wewe ulikuwa hujui ukaenda kusoma. lelHongera aisee!!siku hizi umekomaa kisiasa!!!nilikua nakujaza upepo makusudi nione reaction yako!!ahahahahaha kumbe unafatilia kweli Mwendo wa Magufuli
BTW 3billions hazijaliwa bali hazitoshi kwa matengenezo
unajidanganya..mzee wa msoga juzi alichukua ndege ya rais akaenda zake kula bata uswis,, magufuli ikabidi aende dodoma na gari
Huyu ndumilakuwili huwa anajisoma?Sasa kama mashine mbili tu za muhimbili zimemshinda,,,ataweza kujenga viwanda?
Ungeanza na meli ya Bagamoyo aliyoizindua na kuitelekeza bila hata ya kufanya safari moja ya kibiashara, nawasilisha.Sijamshabikia Magufuli kwa bahati mbaya.
Nilimshabikia kwa imani kubwa juu yake.
Nilimshabikia kwa kuwa nilijua ni mteule na ni mteule wa kweli mwenye kusimamama katika kweli.
Nilimshabikia kama mzalendo Mtanzania bila kulipwa chochote na asiyetegemea kulipwa chochote.
Nilimshabikia kwa kuwa yuko genuine!
Nilimshabikia SANA ili nchi yetuisitumbukie kwenye mikono ya mafisadi.
Kamwe sitajutia kumshabikia Magufuli kwa kuwa watanzania wa hali ya chini kama mimi watafaidika.
Nilikubali kejeli na matusi yote ili tu watanzania wapate kilicho bora.
Niliuvaa ujinga ili tu watoto na vijana wetu wanielewe.
Niliuvaa utoto na ujana kwa maslahi ya mama Tanzania!
Watanzania watakuwa wananielewa sasa kile nilichokishabikia kwa ukweli au propaganda ni kipi hasa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Hahahahaaaaaunajidanganya..mzee wa msoga juzi alichukua ndege ya rais akaenda zake kula bata uswis,, magufuli ikabidi aende dodoma na gari
Watu wanachanganya mambo! Hakuna asiye penda maendeleo lakini ni jinsi gani tuyapate hayo maendeleo. Maendeleo hupangwa ili tuyagikie kwa njia nafuu kuliko njia nyingine. Huwezi kuleta maendeleo at the expense of abolishing Democracy! Huwezi kuleta maendeleo kwa kuwanyima watumishi wa umma stahiki zao.Sijamshabikia Magufuli kwa bahati mbaya.
Nilimshabikia kwa imani kubwa juu yake.
Nilimshabikia kwa kuwa nilijua ni mteule na ni mteule wa kweli mwenye kusimamama katika kweli.
Nilimshabikia kama mzalendo Mtanzania bila kulipwa chochote na asiyetegemea kulipwa chochote.
Nilimshabikia kwa kuwa yuko genuine!
Nilimshabikia SANA ili nchi yetuisitumbukie kwenye mikono ya mafisadi.
Kamwe sitajutia kumshabikia Magufuli kwa kuwa watanzania wa hali ya chini kama mimi watafaidika.
Nilikubali kejeli na matusi yote ili tu watanzania wapate kilicho bora.
Niliuvaa ujinga ili tu watoto na vijana wetu wanielewe.
Niliuvaa utoto na ujana kwa maslahi ya mama Tanzania!
Watanzania watakuwa wananielewa sasa kile nilichokishabikia kwa ukweli au propaganda ni kipi hasa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Rudia tena mkuuSasa kama mashine mbili tu za muhimbili zimemshinda,,,ataweza kujenga viwanda?