Ibra punguza maujuzi kaka. Ila ndio walivyo especially akikutana na maujuzi hadimu....wanang'ata ukizubaa hata pua mdomo na kwenye paji la uso, na anakua serious kabisa like she goes for the kill... wanafinya...pia zile ngumi za kike kifuani. Halafu akipata fahamu anacheka..uwe una muwahi unamkamata kwa nguvu...kama vile wale wanaotolewa mapepo hahahahaa. Maufundi kaka...hajawahi huyo.
Mkuu Ahsante Sana, Kuna Wakati Napataga Hamu Ya Maji Ya Chumvi Lakini Naogopa Kuharibia uso wangu
Ha ha ha! unanitafuta ushahidi eeh? Rejea post yangu, jibu lipo hapo:dance:Nikweli fahamu zinapotea? It's amazing...mtoa mada hoja yake ni ya kweli.
Ha ha ha! Duuuu! kumbe na wewe ume experience eeh? Ila hio solution yako imeniacha hoi, itabidi aifanyie tu kazi ajiokoe na munkari wa mupenziIbra punguza maujuzi kaka. Ila ndio walivyo especially akikutana na maujuzi hadimu....wanang'ata ukizubaa hata pua mdomo na kwenye paji la uso, na anakua serious kabisa like she goes for the kill... wanafinya...pia zile ngumi za kike kifuani. Halafu akipata fahamu anacheka..uwe una muwahi unamkamata kwa nguvu...kama vile wale wanaotolewa mapepo hahahahaa. Maufundi kaka...hajawahi huyo.
Ha ha ha! Duuuu! kumbe na wewe ume experience eeh? Ila hio solution yako imeniacha hoi, itabidi aifanyie tu kazi ajiokoe na munkari wa mupenzi
Ha ha ha! unanitafuta ushahidi eeh? Rejea post yangu, jibu lipo hapo:dance:
Ni rahisi cha kufanya hakikisha unafanya dogstyle lakini sakafuni isiwe kwenye godoro hutapata hasara wala kifua hakitajeruhiwaWasalaam,
Nina tatizo ndugu zangu,tena tatizo kubwa sana.Kifupi ni kwamba mimi nina mpenzi wangu ambaye kwasasa yapata miezi sita toka tulipoanza mahusiano yetu. Nampenda sana na mimi nadhani ananipenda sana.
Nimeandika nadhani kwa kuwa sipo ndani ya moyo wake lakini kwa vitendo na maneno ni wazi kuwa ananipenda sana. Lakini tatizo lililonifanya nije hapa kwenye jukwaa letu ni juu ya hali inayomtokea mwenzangu tukiwa kwenye tendo.
Mwenzangu kila anapokaribia kukifikia kile cha mlima kilimanjaro basi huning'ata kifuani kwa meno na kunisababishia maumivu makali sana na ikitokea nimemuweka staili tofauti hasa dogstyle basi kama godoro halina foronya basi hujikuta akilitoa vipande vipande kutokana na hali inayomtokeaga.
Lakini kingine kinachonishanga ni hili.Baada ya kumaliza tendo na akaniona natokwa na damu kifuani au akiona chini kuna vipande vya godoro huonyesha kushangazwa na hali pia huniuliza kipi kilichonisibu.Kwa kweli hali hii imenichosha sana na kila ninapojaribu kumwambia ukweli na jinsi anavyoniumiza huwa haamini na kudai kuwa namsingizia.
Je, wanajukwaa wenzangu kunamtu ameshawahi kukutana na hali hii? Je kwa kina dada je nikweli kuna raha za aina hii ambazo husababisha kero kwa watu wenu?
Naomba msaada na ushauri wenu maana mpaka kufikia hapa kifua changu kimejaa makovu kutokana na meno.
Ww Wasema
Kuwa nae Pekee Ni Pesa.. Ndio Maana Nipo nae na tunafuraha na maisha ingawa meno ndiyo tatizo
Ushauri Mkuu