Noswerd malila
Senior Member
- Jan 12, 2014
- 145
- 74
Wakati mnafanya weka tofali karibu then ulete mrejesho! Alete Mrejesho Gani Wakati Roho Imefika Peponi?
Wakati mnafanya weka tofali karibu then ulete mrejesho! Alete Mrejesho Gani Wakati Roho Imefika Peponi?
Kashatangulia mbele ya hakiMkuu hilo ni pepo Kali sana,na usipokuwa makini ipo cku atang'oa bustani ya Ed..acha uzinzi oa ataacha
Unapoongea sasa hivi limeshampeleka ujinini kwa tatizo hilohilo la kifua, jamaa hatunae tena duniani,ni mapenzi haya haya ya kawaida au maana angalia ndugu usije kuwa na demu wa kijini
Unapoongea sasa hivi limeshampeleka ujinini kwa tatizo hilohilo la kifua, jamaa hatunae tena duniani,ni mapenzi haya haya ya kawaida au maana angalia ndugu usije kuwa na demu wa kijini
Mkuu bahati mbaya ushauri wako umechelewa kuutoa kwani mleta mada alishafariki siku nyingi sanaView attachment 1800651Pole sana mkuu kwa adha ya uharibifu na kukosa amani hiki kifaa mahususi kitakusaidia kuepuka hayo usimuache wakati suluhisho lipo bwana mvalishe mithili ya balakoa
[emoji23][emoji23][emoji23]Mfunge kamba mdomoni vinginevo siku nyingine atakung'oa korodani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simple mkuu...hakikisha kabla ya kuanza unafunga shingo yake kwenye tendegu, wewe unachukukua kipande cha mbao ya mninga unakinga nayo kifua...ikishikana hayo yote akianza kukutafuna tuu piga kelele za mwiziii mwiziiiiiiIiiiiiiiiiiii!!