Nadaiwa na microfinance million Tano

Nadaiwa na microfinance million Tano

Nishakupa ahadi mkuu, tafuta tu siku nzuri kwako, yote hayo tutayajadili kwa kiwango chochote utakachotaka mwenyewe.
Huwa sina fungu maalum ninalolazimika kujifunga; hata hilo la uzoa takataka naliweza sana.

Wewe huna full contract unapiga part-time job sio
 
Microfinance huwa ni Wezi wa kimacho macho.
Poleeee
 
Back
Top Bottom